Nyimbo ya samaki ya wazanzibar mmh!

Nyimbo ya samaki ya wazanzibar mmh!

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2006
Posts
4,191
Reaction score
677
Jamani kuna nyimbo mpya ya wale offside trick ya kule zenji ambayo nimeiona kwenye tv jana imeniacha hoi

Iile nyimbo mbona imekaaa kimatusi sana

Anasema wanamvyomla jicho na wanamvyombirua birua

Kuna sehemu samaki huchanganywa changanywa kwa mchuzi nyanya na biringani

Kkwa kweli ile nyimbo haijakaa vyema kimaadili au wadau mnasemaje?
 
jamani kuna nyimbo mpya ya wale offside trick ya kule zenji ambayo nimeiona kwenye tv jana imeniacha hoi

ile nyimbo mbona imekaaa kimatusi sana

anasema wanamvyomla jicho na wanamvyombirua birua

kuna sehemu samaki huchanganywa changanywa kwa mchuzi nynya na biringani

kwa kweli ile nyimbo haijakaa vyema kimaadili au wadau mnasemaje??
mara nyingi wasanii watoa kitu kulingana na mahitaji ya soko, kama wewe unaona huo wimbo haufai bac ujue ni jamii nzima haifai, kwa sababu jamii imelishwa inachokitaka, maana cha ajabu huo wimbo umeuona kwenye TV tena pengine ya Taifa na watu wanaupenda tu
 
jamani kuna nyimbo mpya ya wale offside trick ya kule zenji ambayo nimeiona kwenye tv jana imeniacha hoi

ile nyimbo mbona imekaaa kimatusi sana

anasema wanamvyomla jicho na wanamvyombirua birua

kuna sehemu samaki huchanganywa changanywa kwa mchuzi nynya na biringani

kwa kweli ile nyimbo haijakaa vyema kimaadili au wadau mnasemaje??

yale yale nilioyazungumza kwenye ile thread ya abusive colture
mtua annaamua kuwa abuse watu bila kujali sababu zilizowafanya hao watu wawe hivyo.
 
Nyimbo hizo ni ovyo hazifai zinaendeleza culture ya kuwalaumu victim na sio kuangalia tatizo,hao samaki wengi wao ni victim tu.
 
Nyimbo hizo ni ovyo hazifai zinaendeleza culture ya kuwalaumu victim na sio kuangalia tatizo,hao samaki wengi wao ni victim tu.


....Mmmh thatha kwani THAMAKI hawa wanaowasema wao si ndo TUNAOKULA kila siku jamani au???,acheni kuhamisha GOAL POST hizo,jamaa wana maana halisi ya SAMAKI na sio SAMAKII waleeee!!!
 
....Mmmh thatha kwani THAMAKI hawa wanaowasema wao si ndo TUNAOKULA kila siku jamani au???,acheni kuhamisha GOAL POST hizo,jamaa wana maana halisi ya SAMAKI na sio SAMAKII waleeee!!!

we ndo wale wale i guess,
 
Wakuu naomba mtuwekee hiyo nyimbo tuisikie,

Akhsanteni
 
Najaribu kuvuta picha naona ile samaki ina maana mbaya sana na hasa wanapokazia kuliwa jicho maana kisha kichwa wanampa paka hapo tafsida yake ni pana walonayo waiweke ili watu waisikie na waweze kuichangia
 
wimbo safi sana huu..yaani samaki analiwa jicho ye katulia tu....teh tukimla sie watu hawasemi ila yeye akitula sisi habari magazetini ,kwenye ma TV and maofisini....
 
Jamani kuna nyimbo mpya ya wale offside trick ya kule zenji ambayo nimeiona kwenye tv jana imeniacha hoi

Iile nyimbo mbona imekaaa kimatusi sana

Anasema wanamvyomla jicho na wanamvyombirua birua

Kuna sehemu samaki huchanganywa changanywa kwa mchuzi nyanya na biringani

Kkwa kweli ile nyimbo haijakaa vyema kimaadili au wadau mnasemaje?
Wewe ndio umekaa kimatusi matusi au labda ulikuwa unataka jamaa waimbe nyimbo ya matusi,hawa jamaa wameonyesha huruma juu ya hawa viumbe ambao walistahili kuja nchi kavu kuvuta hewa then warejee kwao,lakini mimi nawalaumu sana hawa wanaopenda kuwa vua vua hawasamaki,ndio wanaowasababishia matatizo yote hayo,pole sana samaki kwa kuvuliwa vuliwa!!!
 
Najaribu kuvuta picha naona ile samaki ina maana mbaya sana na hasa wanapokazia kuliwa jicho maana kisha kichwa wanampa paka hapo tafsida yake ni pana walonayo waiweke ili watu waisikie na waweze kuichangia
Mkuu mbona kuliwa jicho tuu ndio kumekushtua,we unamaanisha nini kuhusu hilo jicho?
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=gYuV1HEyKK8"]POLEEEEE SAMAKI POLEEEE......WANAVYOKUFANYA[/ame]
 
SIku hizi kila neno utakaloongea linatafsiriwa kimatusi na akili zetu sasa zimekuwa tuned huko hebu fikiria neno KUMEGA, tafsiri yake ipo wazi kabisa kwenye kamusi na miaka yote limetumika vizuri tuu lkn leo umwambie binti HATA KAMA KASHIKA KWELI TUNDA MKONONI UMWAMBIE TUNDA LAKO LIMEMEGWA HILO WALLAHI MAHAKAMANI MTAFIKA, maana halisi ya neno imeshahamishiwa kubaya, Vile vile samaki kweli ana jicho/macho na unapomla samaki yale macho yake huwa km yanakuangalia kwa HUZUNI, vile vile kweli ukimaliza upande mmoja basi utamGEUZA upande wa pili, mimi sioni uhalisia wa MATUSI kwenye huo wimbo sababu ukichukua kamusi ukaangalia neno JICHO tafsiri yake ni tofauti na hii ya kwako ya leo, kwa maana hiyo mtu anayejua kiswahili vizuri wala hawezi kwazika lkn km ni hiki cha MTAANI au WAKATI HUU basi maana halisi ya KISWAHILI imepindishwa. Fikiria wimbo huu ungeimbwa miaka ya mwisho ya 1997-1999 hakuna mtu angeona kuna matusi hapo.
 
nyimbo hiyo labda ipigwe marufuku kwa video yake, ambayo naona haifai kuweka wakati wa day time televishen....
lakini kwa lugha ilotumika ni bora kuliko nyimbi nyingi zinazosema nikenda geto nikampa msichana pesa nikammega.
bora hii imetumia lugha ya kisanii, na ukitaka kujua tusi ujitafsirie mwenyewe tu
 
Sisi kule kwetu ziwa victoria tunakula macho na kichwa pia. Atleast I do.
Kuna imani ukila kichwa na macho ya samaki yaani akili inakuwa sharp sharp tu. Ulishawahi ona mtoto wa kikerewe mdogo miaka chini ya mitano lakini anakula fulu (visamaki vile vidogo vidogoo) na kuchambua vimifupa kiustadi kabisa? lol tumwulize Mkandara.
Hawa samaki wa pwani wanapewa pole, je sangara anayepigwa panki na mifupa kusagwa itakuwaje? Mimi naona itabidi waje na part II ya huu wimbo.

Halafu we Chimunguru acha hizo, utamwambiaje mtoto tunda lako limemegwa hilo walahi? Lol, huo ugomvi.
 
ndio shida ya fasihi.....huwa inaachwa kila mtu atumie common sense yake kuelewa maana7ujumbe uliomo.Hata mpoto katika wimbo wake wa mjomba mpaka sasa kila mtu anatafsiri ajuavyo......inawezekana kweli haijakaa sawa kwako lakini ikawa na maana kwa waqliotunga na pengine walilenga kuonyesha huruma yao kwa samaki wanavyofanywa..................
 
Back
Top Bottom