Nyimbo za Bongo Fleva zenye stori za kweli

Kuna bwana mmoja alitoa diss track enzi hizo aliwadiss wasanii wote wa bongo fleva
Kuna mstari anasema hivi " Prof Jay umeungua umepewa miwaya na dada wa tanga"

Hyuyo bwana anatoka kikosi Cha mizinga Sasa
 
Kuna bwana mmoja alitoa diss track enzi hizo aliwadiss wasanii wote wa bongo fleva
Kuna mstari anasema hivi " Prof Jay umeungua umepewa miwaya na dada wa tanga"

Hyuyo bwana anatoka kikosi Cha mizinga Sasa
Tupe jina la wimbo tutafute kwenye makabrasha
 

Tamara - Hard Mard
Huu wimbo ulichuana sana na wimbo wa Enomaiki wa Ziggy Dee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…