Nyimbo za kisauz kwenye harusi zetu

Nyimbo za kisauz kwenye harusi zetu

tz1

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
2,121
Reaction score
536
Ni kupoteza asili yetu au ni kwenda na wakati?
 
Asili yetu ishapotea siku nyingi tu. Utamaduni wa kigeni ushaota mizizi. Nadhani kwa kujibu swali lako kwa maoni yangu watu hupenda nyimbo zile maharusini sababu zinachangamsha na zinavutia kucheza pia zina involve easy steps ku-boogie na zile steps zinapokuwa synchronised kwa kundi zima huvutia kwelikweli.
 
Mwabaluhi, hiyo sio sababu muziki wa south umechangamka kuliko mdundiko, mdumage na msondo? Sidhani. Mbona steps za sangula ya wapogoro na ling'oma ya wanyakyusa ni murua na zinavutia sana.
 
Sio kwenda na wakati bali ujinga wetu!
 
Mi naona kiduku inapendeza zaidi
 
Msinikumbushe wadau, kuna harusi kilipigwa kitu cha Mphauphela Amandla, yaani acha tu. Nadhani kuelekea Afrika moja ni heri hizo kuliko ile mibluzi, nyimbo za zouk, mushroom, afrodance pia zinapendeza harusini.
 
Mwabaluhi, hiyo sio sababu muziki wa south umechangamka kuliko mdundiko, mdumage na msondo? Sidhani. Mbona steps za sangula ya wapogoro na ling'oma ya wanyakyusa ni murua na zinavutia sana.

Nadhani post yako hapo juu "cultural imperialism at its best" inajibu hili vizuri zaidi. Natamani tungekuwa kama wanaijeria wanavotumia nyimbo za makabila yao katika harusi
 
mie nilizipiga marufuku kwenye harusi yangu and i didnt miss anything, tuna watoto wanaimba vizuri sana siku hizi
 
mie nilizipiga marufuku kwenye harusi yangu and i didnt miss anything, tuna watoto wanaimba vizuri sana siku hizi

Na bado harusi ilifana I guess. Ni swala la uamuzi tu mkuu. Hongera kwa hilo
 
ni nyimbo gani za kibongo zikipigwa harusini zitapendeza... ukiondoa za pwani?
ofcoz nazikubali nyimbo za kisauzi ile mbaya
 
mie nilizipiga marufuku kwenye harusi yangu and i didnt miss anything, tuna watoto wanaimba vizuri sana siku hizi
Tunahitaji wengi kama wewe, huu ndio ukombozi, the liberation we need.
 
......ni ushamba/unyarugusu tu.....!...halafu most of ndugu zangu wachagga wakishamaliza lile li-RINGI lao...........wanaanza kuweka ile mijiziki ya kisauzi.....aargghh
 
Tatizo nyimbo za bongo unakuta zile nzuri wameimba verse zenye mimatusi au hazina maana kiasi kwamba unashindwa kuzipiga kwenye sherehe....ila ikiwekwa jaivu ya kwa Mandela watu wanajimwaga na kucheza ilahali hawaelewi inaimbwa nini.

Bongo fleva za kina madee au Afande Sele ni balaa tupu. Bora umwe Nature na kwaito zake zisizoeleweka.:biggrin1::biggrin1:
 
......ni ushamba/unyarugusu tu.....!...halafu most of ndugu zangu wachagga wakishamaliza lile li-RINGI lao...........wanaanza kuweka ile mijiziki ya kisauzi.....aargghh

bora tunaweka ringi nyie...
 
Msinikumbushe wadau, kuna harusi kilipigwa kitu cha Mphauphela Amandla, yaani acha tu. Nadhani kuelekea Afrika moja ni heri hizo kuliko ile mibluzi, nyimbo za zouk, mushroom, afrodance pia zinapendeza harusini.


Hapo kwenye red ndio kipi hicho mkuu?
 
Asili yetu ishapotea siku nyingi tu. Utamaduni wa kigeni ushaota mizizi. Nadhani kwa kujibu swali lako kwa maoni yangu watu hupenda nyimbo zile maharusini sababu zinachangamsha na zinavutia kucheza pia zina involve easy steps ku-boogie na zile steps zinapokuwa synchronised kwa kundi zima huvutia kwelikweli.

Zile style mi mpaka leo sizijui,
Nishajaribu sana nikaishia kwenda off-step na wenzangu,
Si nitampata wapi private trainer wa kunifundisha!!
We wazijua zile?
 
Back
Top Bottom