Nyimbo za kisauz kwenye harusi zetu

Nyimbo za kisauz kwenye harusi zetu

ukweli utabaki tu kuwa nyimbo za sauzi ni tamu na zinapendezea sana zikipigwagwa kwenye tafrija za harusi.
 
Kwanza hiyo dance wanayo icheza wandhani ni ya Kisouth wakati sio Kwaito ni ya wamarekani weusi bwana
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Zile style mi mpaka leo sizijui,
Nishajaribu sana nikaishia kwenda off-step na wenzangu,
Si nitampata wapi private trainer wa kuynifundisha!!
We wazijua zile?

zile steps ni noma! Nilijaribu nikaishia kukanyaga jirani zangu
 
Utumwa Tu. Mkataa kwao Mshamba. Angalia majirani zetu Kenya wanapiga za kikabila unafurahi.
Kwa kuiga huku huku ndio maana hata nyimbo ile ya "Miaka 50 ya Uhuru" ni ya kishamba tu
 
steps za kwaito ni noma. Mi kuna dogo ananifundisha lkn bado mwili hauko flexible.
 
Utumwa Tu. Mkataa kwao Mshamba. Angalia majirani zetu Kenya wanapiga za kikabila unafurahi.
Kwa kuiga huku huku ndio maana hata nyimbo ile ya "Miaka 50 ya Uhuru" ni ya kishamba tu
Ni kweli sisi hatujui kujivuni tunako toka,na hisi watu wengi hawaendi kutembelea sehemu wazazi wao waliko toka.
Mfano mimi nimezaliwa Dar,lakini mama anatoka moshi na Baba mbeya na nina jitahidi kumudu lugha zote mbili.Na hii yote wazazi walikuwa
wanatupeleka Likizo zote za shule tulikuwa tunapelekwa kutembelea sehemu hizo mbili.
 
Wabongo kwa kukumbatia vya wenzao hatari, kama siyo JPM leo hii mashoga wangekuwa wananyonyana tu hadharani...
 
Back
Top Bottom