Duuh...kwa tsh 1000 tu mbona unaweza download movies 3 adi 5 kali tena mpya ( HD latest movies).TANGAZO. Tunauza movies za aina zote, bei ni 1500 - 3500 (inategemea ukubwa wa movie) pia tuna tuna kwa WhatsApp na E-mail. Ni PM kwa wanaohitaji!!! KARIBUNI SANA!
TANGAZO. Tunauza movies za aina zote, bei ni 1500 - 3500 (inategemea ukubwa wa movie) pia tuna tuna kwa WhatsApp na E-mail. Ni PM kwa wanaohitaji!!! KARIBUNI SANA!
Hyo bei ya package yenye idadi kadhaa za movies ila bei ndo kuanzia hyo buku mkuuDuuh...kwa tsh 1000 tu mbona unaweza download movies 3 adi 5 kali tena mpya ( HD latest movies).
Namaanisha mfanye movie 1 iwe tsh 100 au 200
Why now nao pia ni moto..Album yak ya "Above In A Minute" nayo sio poaMnoo mnoooo kama ule wa sh is magical daa
Yani hizo MB za kudowmload movie whatsap au email ni bora nidownload onlineTANGAZO. Tunauza movies za aina zote, bei ni 1500 - 3500 (inategemea ukubwa wa movie) pia tuna tuna kwa WhatsApp na E-mail. Ni PM kwa wanaohitaji!!! KARIBUNI SANA!
Mkuu na vifurush vimekua adimu mnoYani hizo MB za kudowmload movie whatsap au email ni bora nidownload online
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Y'all never chill. Nimecheka sio kidogo.VPN unayotumia ni ya ujerumani ndo unajikuta ushafka Berlin..
Sasa unaweza kudownload muvi whatsapp usiite online? Ni offline, sio?Yani hizo MB za kudowmload movie whatsap au email ni bora nidownload online
Sent using Jamii Forums mobile app
huko Ujeruman unatumia kifurushi kipi hasahasa?Mkuu na vifurush vimekua adimu mno
Ni online lakini nimezitenga kumaanisha kuna njia zingine Online.Sasa unaweza kudownload muvi whatsapp usiite online? Ni offline, sio?
Kweli, but after all, simtetei ila nafikiria kwamba anafanya kuwasaidia wasio na utaalamu wa hizi sites na wanahitaji muvi. Angali hizi site mara nyingi zinakuwaga na adverts na hii inawakera watu wengi... kuepusha usumbufu huyu jamaa anakuwa ni great link kati yao na muvi hizo.Ni online lakini nimezitenga kumaanisha kuna njia zingine Online.
Nikidownload online kupitia sites nitatumia Bando tu mfano la buku.
Lakini nikimtumia huyo jamaa nitatumia bando la buku kama kawa kudownload whasap au email halafu tena nitamuongezea na Buku jero ya malipo yake.kwahyo total 2500
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasaidii mtu anaibia wasiojua.Kweli, but after all, simtetei ila nafikiria kwamba anafanya kuwasaidia wasio na utaalamu wa hizi sites na wanahitaji muvi. Angali hizi site mara nyingi zinakuwaga na adverts na hii inawakera watu wengi... kuepusha usumbufu huyu jamaa anakuwa ni great link kati yao na muvi hizo.
But after all kila mtu anaangalia chenye faida kwake.
Sometimes i like to think the other way around. Najua wewe ni muelewa na utanielewa nikikuambia in the current modern world nothing is offered at no cost. Hata kupewa ushauri tu una-pay attention. Ije kuwa hizo huduma ulizozitaja?Hasaidii mtu anaibia wasiojua.
Wale wanaocharge 2000 kuingiza whatsap kwenye simu wanasaidia wateja wao?
wale wanaingiza nyimbo moja kwenye simy kwa 500 wanasaidia wateja wao?
wale wanaotengenezea watu akaunti za facebook kwa 3000 wanasaidia wateja wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nothing is free lakini pia kuna concept ya Value ya huduma in relation to the money being charged vinatakiwa vioane.Sometimes i like to think the other way around. Najua wewe ni muelewa na utanielewa nikikuambia in the current modern world nothing is offered at no cost. Hata kupewa ushauri tu una-pay attention. Ije kuwa hizo huduma ulizozitaja?
Upo sahihi, kaka, na ninakubaliana na wewe kwa asilimia miamoja. Nilikuwa na-play devil's advocate. Thing is one ought to teach fellow men how to fish rather than give them fish. Tupo kwenye boti moja. 😎Sawa nothing is free lakini pia kuna concept ya Value ya huduma in relation to the money being charged vinatakiwa vioane.
Mtu hawezi kuuza apple moja 30,000/= kwa kigezo cha nothing is free
Sent using Jamii Forums mobile app
Much obliged..Upo sahihi, kaka, na ninakubaliana na wewe kwa asilimia miamoja. Nilikuwa na-play devil's advocate. Thing is one ought to teach fellow men how to fish rather than give them fish. Tupo kwenye boti moja. [emoji41]