Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.