Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Vipi yale maandamano ukidai kwa bashasha kuwa yamepigwa marufuku, ndiyo haya mjomba?Haya!
Mambo gani?Natoa wito watanzania tuungane kuandamana kupinga mambo ya hovyo yanayoendelea hapa nchini
Umeme kukatika hovyo, maji ya mgao, bidhaa muhimu kupanda bei, ufisadi, semina, hafla za pongezi na ziara zisizo na tija zinazokandamiza watanzania, ulambaji wa asali (kula kwa urefu wa kamba) tozo zinazoumiza watanzania, mikopo isiyo na ulazima n.k ni mambo mengi sana ya hovyo yanayozidi kukandamiza wananchi, hususan wa hali ya chini.Mambo gani?
Wameporwa majimbo yote uliandamana? Hawapo bungeni wamebaki mafisadi watupu alafu unataka upinzani wafanye Nini sasa Cha ajabu kama nyie wenyewe hamkuona umuhimu wao kuwa bungeni?Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Mambo gani?
Ndio mmekata tamaa kiasi hiki?Wameporwa majimbo yote uliandamana?? Hawapo bungeni wamebaki mafisadi watupu alafu unataka upinzani wafanye Nini sasa Cha ajabu kama nyie wenyewe hamkuona umuhimu wao kuwa bungeni...
Umeme kukatika hovyo, maji ya mgao, bidhaa muhimu kupanda bei, ufisadi, semina, hafla za pongezi na ziara zisizo na tija zinazokandamiza watanzania, ulambaji wa asali (kula kwa urefu wa kamba) tozo zinazoumiza watanzania, mikopo isiyo na ulazima n.k ni mambo mengi sana ya hovyo yanayozidi kukandamiza wananchi, hususan wa hali ya chini.
Hebu tupumzishe hajatulipia adaMachafuko makubwa Kibera/Kibra .Sad day Kenya -mischief thou art afoot, take thou what course thou wilt.
Mungu awabaliki sana waandamanaji wapate haki yao.Hakika nawapenda na kuwakubali sana wakenya.Sisi tumekalia uchawa tu.Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
View attachment 2567989
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Machafuko yamechukua sura mpya Kibra. Taarifa kamili soon.Mungu awabaliki sana waandamanaji wapate haki yao.Hakika nawapenda na kuwakubali sana wakenya.Sisi tumekalia uchawa tu.