Litaachaje kundi la hovyo wakati mliwapiga bunduki na kuwajaza kwenye viroba?Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Tuorodheshee hayo mambo ya hovyo mkuu ili tuhamasike.Natoa wito watanzania tuungane kuandamana kupinga mambo ya hovyo yanayoendelea hapa nchini
nami nilikuuliza swali kama hili ulilomjibu john. Ushauri wangu, tumpe mama muda.Umeme kukatika hovyo, maji ya mgao, bidhaa muhimu kupanda bei, ufisadi, semina, hafla za pongezi na ziara zisizo na tija zinazokandamiza watanzania, ulambaji wa asali (kula kwa urefu wa kamba) tozo zinazoumiza watanzania, mikopo isiyo na ulazima n.k ni mambo mengi sana ya hovyo yanayozidi kukandamiza wananchi, hususan wa hali ya chini.
Hii nchi sijui upumbavu utaisha lini, kwahiyo mmeacha kumlaumu mwizi mnamlaumu mtu aliyesimama pembeni?Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Ule,ushibe kisha ujambe hovyo, halafu utegemee wapinzani waandamane kwa ajili yako? Sahau.Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Hamna aliyekata tamaa.... Wenye serikali wapo alafu mtu anakuja kulalamikia Chadema kuhusu Twiga kuibiwa? Unajitambua kweli? Mjilaumu wenyewe kung'ang'ania CCM miaka 60 Sasa alafu mnategemea ufisadi uishe?Ndio mmekata tamaa kiasi hiki?
Kuna wengine tuko vijijini hatujawahi kuona umeme majumbani mwetu, maji tumezaliwa tunakuta wazee wetu wanachota kwenye madimbwi na sisi tunaunga tela, bidhaa muhimu kwetu ni unga, mahindi, mihogo, magimbi, mchele,maharage nk vyote tunajilimia, ufisadi, semina, kulamba asali yanawahusu nyie wasomi waishio daslaama, chumvi, kiberiti, tunapata baada ya kuuza mifugo na mahindi, nyumba zetu zimeezekwa kwa nyasi, sasa watu kama sisi tunaanza je kuisumbua serikali yetu tukufu!!!!!!!!Umeme kukatika hovyo, maji ya mgao, bidhaa muhimu kupanda bei, ufisadi, semina, hafla za pongezi na ziara zisizo na tija zinazokandamiza watanzania, ulambaji wa asali (kula kwa urefu wa kamba) tozo zinazoumiza watanzania, mikopo isiyo na ulazima n.k ni mambo mengi sana ya hovyo yanayozidi kukandamiza wananchi, hususan wa hali ya chini.
Tuko pamoja mkuuMungu awabaliki sana waandamanaji wapate haki yao.Hakika nawapenda na kuwakubali sana wakenya.Sisi tumekalia uchawa tu.
Hamna aliyekata tamaa.... Wenye serikali wapo alafu mtu anakuja kulalamikia Chadema kuhusu Twiga kuibiwa? Unajitambua kweli? Mjilaumu wenyewe kung'ang'ania CCM miaka 60 Sasa alafu mnategemea ufisadi uishe?
Jinsi ulivyojibu tu inaonyesha ni jinsi gani ujinga ulivyotawala katika vichwa vya watanzania wengi, Kama Nyerere alivyosema kwamba maadui wa taifa ni Ujinga Maradhi na Umasikini.Yaani unajivunia kabisa umasikini?? Kwamba mpo vijijini miaka 60 ya uhuru hamjawahi kuona umeme! Ma unathubitu kujisifia? Kwa hiyo unadhani ufisadi na ulambaji asali hauwaathiri? Mungu atusaidie!.Leo hii wewe na magimbi yako serikali yenye maono ingekataa kutumia bilioni kadhaa kwa semina za pongezi ili zikutafutie soko na kukujengea barabara nzuri ukauze magimbi yako uondokane na umasikini wako na hatimaye uondoe ujinga wako kichwani! Hopeless kabisa.Kuna wengine tuko vijijini hatujawahi kuona umeme majumbani mwetu, maji tumezaliwa tunakuta wazee wetu wanachota kwenye madimbwi na sisi tunaunga tela, bidhaa muhimu kwetu ni unga, mahindi, mihogo, magimbi, mchele,maharage nk vyote tunajilimia, ufisadi, semina, kulamba asali yanawahusu nyie wasomi waishio daslaama, chumvi, kiberiti, tunapata baada ya kuuza mifugo na mahindi, nyumba zetu zimeezekwa kwa nyasi, sasa watu kama sisi tunaanza je kuisumbua serikali yetu tukufu!!!!!!!!
Miaka 60 ya uhuru bado unahitaji muda??nami nilikuuliza swali kama hili ulilomjibu john. Ushauri wangu, tumpe mama muda.
Shusheni uchumi wenu, sisi tunasubiri cheap skilled hardworking labor kutoka huko kwenu.Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
View attachment 2567989
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Kuna wengine tuko vijijini hatujawahi kuona umeme majumbani mwetu, maji tumezaliwa tunakuta wazee wetu wanachota kwenye madimbwi na sisi tunaunga tela, bidhaa muhimu kwetu ni unga, mahindi, mihogo, magimbi, mchele,maharage nk vyote tunajilimia, ufisadi, semina, kulamba asali yanawahusu nyie wasomi waishio daslaama, chumvi, kiberiti, tunapata baada ya kuuza mifugo na mahindi, nyumba zetu zimeezekwa kwa nyasi, sasa watu kama sisi tunaanza je kuisumbua serikali yetu tukufu!!!!!!!!
Shusheni uchumi wenu, sisi tunasubiri cheap skilled hardworking labor kutoka huko kwenu.
Miaka 60 ya uhuru bado unahitaji muda??
Inamaan huon kenya wanachi wanavyomsupport odinga, upinzani wa Tanzania hauna support ya wananchiTungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Inamaan huon kenya wanachi wanavyomsupport odinga, upinzani wa Tanzania hauna support ya wananchi
Kama alimiminiwa risasi mchana kweupe na wananchi waliufyata unawalaumuje
MBOWE anatuchota akili kweli kweli.Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge