Nyimbo za vigodoro kwenye jukwaa la kimataifa la AFL ni ushamba

Najiuliza kwann Kiba hakuimba ule wimbo wa " Sio Leo Toka zamani"
 
Tatizo letu tunaishindwa kuangalia Context.

Hili Tamasha limefanyika Tanzania, Africa.
Ukitoa kuburudisha, waliweka wazi kuwa wanataka kuionesha dunia Tamaduni na radha za kiafrica. Ndio maana kuanzia show inaanza hadi mwisho mambo yalikua ni Kiafrika - Africa.

Unataka Alikiba aimbe nini? RnB, Blues? Sio radha za kiafrica.

Na option pekee kwa Alikiba ilikuwa ni amapiano- Mziki ambao chimbuko lake ni Africa.

N.B. Hii Company iliyoandaa hii Show sio ya Africa, ila bado walijitahidi sana kuonesha u-Africa Africa.
 
Nyimbo za vigodoro, nyimbo za ushambenga na kusutana hazifai kwenye platform kubwa ya kimataifa kama ile.
 
Nyimbo za vigodoro, nyimbo za ushambenga na kusutana hazifai kwenye platform kubwa ya kimataifa kama ile.
Mzee ulitaka kuimbwe nini na hakukua na wimbo rasmi ulioandaliwa wa AFL.

Wimbo una meseji za maisha yetu ya Kiafrika Afrika sioni tatizo kubwa kihivyo
 
Usijali, msimu ujao, timu yako pendwa IHEFU itashiriki, na msanii kipenzi chenu atatumbuiza!
Jinsi ulivyo jaa wivu, kuna siku utaionea wivu hata maiti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…