Morng Africa. Mimi ninyimbo zangu bora kabisa ni hizi
1) Moyo wangu umekuambia
2) Nalisema nitayakili maasi yangu kwa bwana
3) Fahari yetu ni msalaba
4) Ikatoka damu ikatoka maji pia
5) Mama pale msalabani
6) Utambi mchafu wa moshi mzito
7) Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu
Je, wewe zako zipi