big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Labda ndo nazeeka,labda sijui trends kwa sasa ndo aina hii ya muziki, muziki uunaboa wakuu, wasanii wanafanana uandishi, beat, sauti Kila kitu.
Tafuta ngoma zote zinazofanya vizuri uniambie, KWANG'WARU,GO GAGA, CHOMBO, JIBEBE, IOKOTE,DULLY FT HARMONIIZE, AICA&NA REALFT FT DIAMOND, DM CHICK, MAVOKO - NAOGOPa.
List ni kubwa mno, mmefanya muziki ukose ladha kabisa, afu madhairi hayaeleweki kabisa 🤣🤣🤣🤣
Mnauwa mziki na utumbo wenu.
Karibuni, Povu ruksa
Tafuta ngoma zote zinazofanya vizuri uniambie, KWANG'WARU,GO GAGA, CHOMBO, JIBEBE, IOKOTE,DULLY FT HARMONIIZE, AICA&NA REALFT FT DIAMOND, DM CHICK, MAVOKO - NAOGOPa.
List ni kubwa mno, mmefanya muziki ukose ladha kabisa, afu madhairi hayaeleweki kabisa 🤣🤣🤣🤣
Mnauwa mziki na utumbo wenu.
Karibuni, Povu ruksa