Nyoka na kujamiiana: Kwanini anakonda wa kike hummeza wa kiume baada ya tendo?

Nazjaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wale wanaume bichwa komwe hawatakuelewa.
 
Sisi tunakufa kwa kufanya kazi ngumu wakati wao wamelala ndani tuli.
 
Wanaume tumeumbwa mateso mateso kuhangaika.
Kumbe hako kawimbo hakakwepeki hata uwe mbwa.
 
Wanaume wengi wamekufa kutokana na wake zao.

Mkizaa,mkiisha chuma Mali akaona anajiweza,anakuona huna maana tena , kama huyo nyoka baada ya kupata starehe na manii za kutaga anaua dume.

Mimi nadhani vita kati ya mwanamke dhidi ya mwanaume ni kubwa mno.
 
Wanaficha ushaidi kwa kuwameza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…