Uchaguzi 2020 Nyomi bandia, uongo unawaadhibu wapinzani kila chaguzi

Kwenye hiyo misafara kuna zito ambaye ni mwenyeji wa kigoma nadhani ni vyema naye ungemhoji kama hiyo ndio hoja yako
Unaanza kukubali Kuna asilimia kubwa ya watu kwenye nyomi la Maalim sio wakaazi Wala wapiga kura wa Zanzibar
 
Asongepata watu mngeongea..kapata wa kumpokea bado mnaongea........watu wengine bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…