Elections 2010 Nyomi ya dr. Kikwete mwembeyanga leo ni mara ishirini ya dr. Slaa-inaashiria nini?

Elections 2010 Nyomi ya dr. Kikwete mwembeyanga leo ni mara ishirini ya dr. Slaa-inaashiria nini?

.
CCm2010.jpg

ccm2010_2-1.jpg

hivi si haitakiwi kubeba watu kwenye maroli hawa watu watakufa kama wale wa zanzibar, kwanini sheria hazifuatwi!?
 
Kikwete ni dk wa nini?

Dr. wa mfumko wa bei. Tangu aingie madarakani bei za bidhaa zimepanda kwa 100% hadi 250% wasimpe udaktari kwa nini ? Akipata tena tutakuwa kama Zimbabwe, tutabeba makapu ya noti kwenda sokoni. Zuia hii istokee kapige kura.

Henge, Ubarikiwe sana kwa hizo picha, Arusha walikodi mabasi kupeleka watu karatu. Aibu yao.
 
Wamesombwa na mabasi na tuliyaona hayo mabasi. CCM wanajidanganya wachukua watu wale wale kule Kawe, Mwembeyanga na hao hao? je watapiga kura mara zote hizo?

Poor CCM, jiandaeni kisaikolojia "kupokea kushindwa"

Hili ndilo jibu la "nyomi" zote za kweli na bababishi.......................
 
Kativii kangu ka black n white kamepona so uchaguzi niko nao beneti kwa sasa, Jana Dr. slaa nilimuona Jangwani kapata nyomi hata tiviii ilikuwa ndogo, lakini leo huyu Jeykey kapata manyomi ilibakia kiduchu kativii kangu kapasuke kwa watu waliojaa humo tiviini. Hii inashria nini jamani nyie mtakaojengewa barabara za ndege huko dar?
Ngudu nataka tu nikujulishe kama hauko Dar kimakazi, watu wa temeke na vitongoji vyake wanapenda sana bongo fleva kuliko aina nyingine yoyote ya music si wakubwa wala wadogo. Halafu kumbuka kuwa ni watu wengi sana siyo wa mijini wala vijijini wanatamani sana kuwaona hawa wasanii wa bongo fleva live bila antena sasa hiyo ndiyo fursa pekee kwao kwani ni bureeeeeee kuwaona, juhudi yako tu ya kujisogeza panapo uwanja, halafu wengi ni masikini so hawana fulana za kushindia au kwendea shamba sasa hizo zinazogawiwa bure hata mimi ningewania.
 
mtaji wa DrSlaa ni WAJANJA na MAKINI wanaojua wametoka wapi wako wapi wanaelekea wapi! hajatoa fuso wala fulana na kofi kuwarubuni waje mwembe kuna walio lob... kazini ilh waende mwembeyanga
 
mtaji wa DrSlaa ni WAJANJA na MAKINI wanaojua wametoka wapi wako wapi wanaelekea wapi! hajatoa fuso wala fulana na kofiai kuwarubuni waje mwembe kuna walio lob... kazini ilh waende mwembeyanga
 
......"heri njaa ya kujitakia kuliko shibe ya kulazimishwa"

tatizo ni kwamba hawajaenda kwa hiali yao wamsombwa tu na wameenda kwa ahadi ya pilau na pombe...............wengi wao wanasema tunakula vya tunavyopewa na ccm ili nasi tufaidi japo kidogo ila wanasema kura wasahau kwani wanataka mabadiliko..................chadema watu huenda kwa hiali
 
Kativii kangu ka black n white kamepona so uchaguzi niko nao beneti kwa sasa, Jana Dr. slaa nilimuona Jangwani kapata nyomi hata tiviii ilikuwa ndogo, lakini leo huyu Jeykey kapata manyomi ilibakia kiduchu kativii kangu kapasuke kwa watu waliojaa humo tiviini. Hii inashria nini jamani nyie mtakaojengewa barabara za ndege huko dar?

Nimehudhulia mikutano yote! Wa Dr Slaa na wa Fisadi Kikwete, tofauti Kikwete aliwalipa na fulana juu...na wengi walienda kwa bongo flava...mwambie Kikwete aende mahari bila burudani asipojikuta ni yeye na Kinana tu?
 
Back
Top Bottom