#COVID19 Nyomi ya maandamano kupinga chanjo nçhini Uingereza: Kwa wale mbumbumbu wanaodhani upinzani wa chanjo ya corona upo TZ tu!!

#COVID19 Nyomi ya maandamano kupinga chanjo nçhini Uingereza: Kwa wale mbumbumbu wanaodhani upinzani wa chanjo ya corona upo TZ tu!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!
 
Usiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Usijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!
 
Usijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!
Jacob Desvarieux mwanzilishi wa Band ya Kassav na dancing style ya Zouk, alikufa kwa covid 19, July 30/2020, akiwa amechanjwa chanjo 3..Bado aliambukizwa na kufa hatimaye kuzikwa kwao Guadelope.
 
Jacob Desvarieux mwanzilishi wa Band ya Kassav na dancing style ya Zouk, alikufa kwa covid 19, July 30/2020, akiwa amechanjwa chanjo 3..Bado aliambukizwa na kufa hatimaye kuzikwa kwao Guadelope.
July 31/2021
 
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Kwahiyo umefarijika kuwa kukataa kwako kuchanja ni sahihi kwani hata wazungu wamekataa! Huo ni ujinga.
 
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Unadhani ulaya hakuna wajinga kama wewe na wengine?
 
Usiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Marekani watu 177 milioni wamechanja kati ya watu 360.
Hatujatoa watoto ambao hajachanja so utaona 70% wamechanja.

Uingereza watu 47 million kati ya watu 68 million.
Hao wachache sio case .
Taifa lilipoteza wataalam kwa sababu ya mjinga mmoja ambae hakutaka kuleta chanjo.
 
Usijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!
Casualties hazikosekani popote
 
Watu wanajifariji kwa wengine kutochanja. Wanagoma kujiridhisha kwa idadi ya vifo kupungua na hospitilization kuwa ndogo.
Bahati mbaya, demographically, maeneo yenye watu masikini hata nchi zilizoendelea, uptake ya chanjo ni ndogo.
Umaskini upo associated na vitu vingi sana. Haishangazi kuona hata hapa nchini raia wa kigeni au wenye asili ya nje wamechanja kuliko wenyeji.
Ujinga ni mbaya sana.
 
Kuna kitu kinaitwa BACKFIRE EFFECT . yaani psychologically mtu anayeamini jambo kimakosa au kijinga ,ikitokea ukamweleza au ukamhubiria kwa kumpa FACTS kinyume na IMANI yake basi badala ya kumbadilisha yeye huimarika zaidi ktk ujinga ule.
Watu wengi waliokataa au ambao wameaminishwa kijinga juu ya CHANJO ukiwahubiria na kuwapa ukweli juu ya chanjo na matokeo yake basi wao wanaimarika zaidi. Hatuombei mabaya lkn serikali iendelee kutoa elimu.watu wachanje Hii shida itatumaliza.
 
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Mkuu,ukitaka kujua humu majuha ni wengi,LISSU ajifanye kama anaipinga chanjo!
Hutaamini mkuu,watu watapiga U-turn na kusapoti chanjo haifai
 
Usijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!
Cha ajabu nini wakati kila mwaka wanachoma shot ya Flu. sababu ya bima ya afya ya kwao na wanaogopa sana mafua ya kawaida tu wanachoma chanjo kila mwaka. Hawa ni wachache sana wengi wamechoma ndio maana unaona tuna enjoy siku hizi EPL. Jana Biden kawa mkali sababu kuna watu kama Milion 80 bado kasema mnatuletea shida sisi million 200 tuliochoma.
 
Back
Top Bottom