Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Hivi Wewe jamaa una akili Kweli?Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Pole bwashee!Usiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Wewe umechanja astra?Hivi Wewe jamaa una akili Kweli?
nenda kachanje kama unajipenda achana na mambo ya waingereza
Unachanjwa alafu unafanya maandamano ili upate faida gani?Usiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Nimechanja Jansen mkuuWewe umechanja astra?
👉👉👉👉👉 https://www.medicalnewstoday.com/articles/covid-19-in-england-rising-infections-as-delta-variant-takes-holdUsiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Hii J J ya SA?Nimechanja Jansen mkuu
Sasa nyie marekani sie watz inatuhusu nini?Cha ajabu nini wakati kila mwaka wanachoma shot ya Flu. sababu ya bima ya afya ya kwao na wanaogopa sana mafua ya kawaida tu wanachoma chanjo kila mwaka. Hawa ni wachache sana wengi wamechoma ndio maana unaona tuna enjoy siku hizi EPL. Jana Biden kawa mkali sababu kuna watu kama Milion 80 bado kasema mnatuletea shida sisi million 200 tuliochoma.
Ya uholanziHii J J ya SA?
Sasa wewe kila kitu akifanya mzungu kwako ushindi jiandae na ndoa za wanaume kwa wanaume wameanadama wanataka kila nchi watu waoane upo tayari?Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Usijidanganye na kushikilia unyasi kubeba argument yako.Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Ukitaja jambo nusu nusu kwa makusudi una ajenda ya kusema uongo. Jacob Desvarieux alikuwa na kisukari kikali hadi alipoteza figo. Alikuwa na figo za kupandikiza. Ili figo hizo zifanye kazi ilikuwa ni lazima atumie dawa za kuzuia kinga (immunity suppressing drugs). Maana yake ni kuwa alikuwa hawezi kuwa na kinga yoyote, au chanjo ilikuwa haiwezi kumpa kinga. Ni sababu mojawapo alichanjwa mara tatu. That is an extremely isolated case not fit for a generalisationJacob Desvarieux mwanzilishi wa Band ya Kassav na dancing style ya Zouk, alikufa kwa covid 19, July 30/2020, akiwa amechanjwa chanjo 3..Bado aliambukizwa na kufa hatimaye kuzikwa kwao Guadelope.
Hongera!Ya uholanzi
Mbona lakini tunasema wazungu na mabeberu hawatupendi?.... Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona.
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Wangetaka kufanya hivyo wote tungesha malizikasimlisema wazungu wanataka kutuua?
Asante sana mkuu. Tuzidi kupaza sauti, wataamka hata kama ni kumi. Hali si shwari kabisa kwa sababu waovu waliotengeneza hiki kiitwacho "chanjo" - japo si chanjo kamwe - wamekaa wamekunja mikono lakini sisi wanaotuumiza ndio tuko bize kuwatetea na kutetea sumu yao.Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699