Ndugu zangu,nina miezi mitatu nyonga ya paja la kulia inauma sana,chanzo nilibeba jiwe kubwa kwa mikono yangu ghafla nikasikia nyonga imeumia sana nilikuwa nahangaika kwenye banda langu...mwenye kujua dawa anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.