Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huko kichwani sijui ndio mauzauza gani yarabi.
...kibichwa kama ndimu!
Kwa kuongezea ni mwanaume pekee hapa Tanzania anyevaa nywele za maiti(mawigi)naona yamejaa kabatianajidanganya kwa kusema wanawake wanapenda wanaume weupe.mimi naona anaonekana kama kavaa kinyago
Katika Kipindi cha Mboni Show Siku ya leo Topic ilikuwa ni kuhusu Wanaume Kujichumbua kwa kutumia Mkorogo, katika kipindi hicho Nyoshi El Sadaat Alikuwa ni mgeni mmoja wapo na Alipoulizwa kama anatumia Mkorogo Akakubali na Kusema alianza kutumia kutoka mdogo akiwa na umri wa miaka sita
Yani amejichubua tangu ana miaka sita halafu hadi leo bado mikono myeusi kama katoka kupima mkaa!
Au anajipaka mkorogo kwa kutumia miguu wajameni??
Loh, aache tu kwa kweli.