Nyoshi El Sadat Akiri Kuwa Anajichubua na akasema yafuatayo

Nyoshi El Sadat Akiri Kuwa Anajichubua na akasema yafuatayo

kweli sikutegemeaga kuhisi kama mwanamume au mwanamke ataongea huu uharo kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi hata mdogo wangu wa miaka 9 hawezi kuongea huu utaahira sembuse huyu wa zilipendwa!
 
Wacongo ni kawaida familia nzima kutumia mkorogo.
 
Nyoshi ndivyo alivyo ni wa kumsamehe tu,pamoja na yote ni mtu mzuri na anajiheshimu.
 
hao wanawake anaowaongelea nina uhakika ni wa congo!!!
 
Hili Jamaa ni jinga la kimataifa..yaaani anaongea uhalo wa ajabu....
 
anajidanganya kwa kusema wanawake wanapenda wanaume weupe.mimi naona anaonekana kama kavaa kinyago
Kwa kuongezea ni mwanaume pekee hapa Tanzania anyevaa nywele za maiti(mawigi)naona yamejaa kabati
 
nawewe unatoka ndani unasema nina mume rubbish
 
vivulana vya kikongo hipiga pinyeto kwa mkorogo
 
Katika Kipindi cha Mboni Show Siku ya leo Topic ilikuwa ni kuhusu Wanaume Kujichumbua kwa kutumia Mkorogo, katika kipindi hicho Nyoshi El Sadaat Alikuwa ni mgeni mmoja wapo na Alipoulizwa kama anatumia Mkorogo Akakubali na Kusema alianza kutumia kutoka mdogo akiwa na umri wa miaka sita


Yani amejichubua tangu ana miaka sita halafu hadi leo bado mikono myeusi kama katoka kupima mkaa!
Au anajipaka mkorogo kwa kutumia miguu wajameni??

Loh, aache tu kwa kweli.

"kwa kutumia miguu".....LOL!
 
Back
Top Bottom