Ukisikiliza sauti za hawa majamaa na wanavyoimba nani unamwona kamzidi mwenzake?
- Kwenye life kuna time ya kila kitu, Nyoshe alikuwa na wakati wake sasa unaelekea kufika mwisho na ni wakati wa Bella kinachoweza kuwatofautisha ni nani kati yao amelipwa sana maana malipo ndio huwa yanaamua nani mkali sio maneno
Le Mutuz
Nani basi alilipwa zaidi
Nyoshi
Ukisikiliza sauti za hawa majamaa na wanavyoimba nani unamwona kamzidi mwenzake?