Nyosso Alishikwa Korodani-Mbeya City


..usiku alipost taarifa kupitia twitter,akasema wao kama TFF wameliona watalitolea maamuzi.Siamini kwamba maamuzi ya kumfungia nyosso two yearz yalitolewa saa 5 usiku.!
 
kama ndo mie hapo narejesha majibu hata kama namimi nitafungiwa hiyo miaka 2 ikiisha anarudi tena uwanjani kwa majisifu picha hiyo alofanyiwa hicho kitendo yee na mkewe na familia yake wakioona inaleta gadhabu hapo ni jino kwa jino
 
Refa hakuona matukio ya wachezaji wa azam na wa mbeya cty, pia huyo mjumbe kutoka azam aliyekuwepo kwenye kesi alichaguliwa lini kwenda kuhukumu kesi? Kwann mbeya city hawakugoma toka ligi inaanza?
 
..usiku alipost taarifa kupitia twitter,akasema wao kama TFF wameliona watalitolea maamuzi.Siamini kwamba maamuzi ya kumfungia nyosso two yearz yalitolewa saa 5 usiku.!

Bro, alisema hatua zitachukuliwa! Alishamhukumu Nyoso kabla mamlaka hazijakaa vikao rasmi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…