sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kipindi ile breki ya kupisha mechi za kimataifa ikiianza leo, wachezaji watano wa kimataifa toka Simba SC wanatarajia kulitetemesha Bara la Africa, pale watakapokua katika viwanja mbali mbali kuyatumikia mataifa yao.
Jina la mchezaji, Timu yake, Mda wa mechi ni kama ifuatavyo;
1. Yule kiungo anayetumia akili na ufundi mwingi uwanjani, uwezo mkubwa wa kupiga chenga, miguu miepesi, maono na pasi zenye macho, Clatous Chama, ataliwakilisha taifa lake la Zambia.
Tarehe: 10/10/2018
Mechi: Zambia 2-1 Guinea-Bissau (FT)
Tarehe: 14/10/2018
Mechi: Guinea-Bissau 2-1 Zambia (FT)
2. Yule kiungo mshambuliaji ambaye mechi ya mwisho akiitumikia klabu yake, alicheza dk 13 tu huku akipiga mipasi 27 ambapo hakuna hata 1 iliyopotea Haruna Niyonzima pamoja na mshambuliaji bora kabisa kwa sasa katika ukanda wa EAC Meddie Kagere watashuka dimbani kulitumikia taifa lao la Rwanda.
Tarehe: 12/10/2018
Mechi: Guinea 2-0 Rwanda (FT)
Tarehe: 16/10/2018
Mechi: Rwanda 1-1 Guinea (FT)
3. Yule 'CR7 wa Uganda' Okwi ambae katika mechi iliyopita ya TPL dhidi ya African Lyon aling'ara vilivyo pamoja na yule beki kisiki 'Kiboko ya Samata' Juuko Murshid wataliwakilisha taifa lao la Uganda.
Tarehe: 13/10/2018
Mechi: Uganda 3-0 Lesotho (FT)
Tarehe: 16/10/2018
Mechi: Lesotho 0-2 Uganda (FT)
Jina la mchezaji, Timu yake, Mda wa mechi ni kama ifuatavyo;
1. Yule kiungo anayetumia akili na ufundi mwingi uwanjani, uwezo mkubwa wa kupiga chenga, miguu miepesi, maono na pasi zenye macho, Clatous Chama, ataliwakilisha taifa lake la Zambia.
Tarehe: 10/10/2018
Mechi: Zambia 2-1 Guinea-Bissau (FT)
Tarehe: 14/10/2018
Mechi: Guinea-Bissau 2-1 Zambia (FT)
2. Yule kiungo mshambuliaji ambaye mechi ya mwisho akiitumikia klabu yake, alicheza dk 13 tu huku akipiga mipasi 27 ambapo hakuna hata 1 iliyopotea Haruna Niyonzima pamoja na mshambuliaji bora kabisa kwa sasa katika ukanda wa EAC Meddie Kagere watashuka dimbani kulitumikia taifa lao la Rwanda.
Tarehe: 12/10/2018
Mechi: Guinea 2-0 Rwanda (FT)
Tarehe: 16/10/2018
Mechi: Rwanda 1-1 Guinea (FT)
3. Yule 'CR7 wa Uganda' Okwi ambae katika mechi iliyopita ya TPL dhidi ya African Lyon aling'ara vilivyo pamoja na yule beki kisiki 'Kiboko ya Samata' Juuko Murshid wataliwakilisha taifa lao la Uganda.
Tarehe: 13/10/2018
Mechi: Uganda 3-0 Lesotho (FT)
Tarehe: 16/10/2018
Mechi: Lesotho 0-2 Uganda (FT)