mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
C=3,h=8.Fafanua H inatoka wapi ? Chelsea ni C ambayo ni 3 but kajumlisha na 8 halafu na tarehe . swali nane imetoka wapi?
Ila huu mchezo wa kutabiri ni mgumu sanaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C=3,h=8.Fafanua H inatoka wapi ? Chelsea ni C ambayo ni 3 but kajumlisha na 8 halafu na tarehe . swali nane imetoka wapi?
To =sijui umepataje hizo nambaAu wanamaana hii....najaribu kufikiria mkuu
a = 1, b =2, c=3, d= 4, e = 5....h=8,..... o=15, ...T=20
........ch = ......c=3, h =8 .....tarehe ni 22
.........To =.......T=20, o= 15....tare ni 22
Wakisema formula sio mgumuC=3,h=8.
Ila huu mchezo wa kutabiri ni mgumu sanaaa.
Sawa.kila la kheri.Wakisema formula sio mgumu
To =sijui umepataje hizo namba
Hadi dakika 90 game ikiwa draw,aliyebet draw kala.FA hii haina draw!
Ch-
Tot-
Mbona Chelsea umetumia herufi mbili na Spurs umetumia tatu?
Mtu kashakula 4 huko.........nyie endeleeni kuweka mikeka yenu kwa kupitia tabiri za jf tu
Iyo nyota akoooo kalale nayo ukojoeeeeeCh- 3+8++22=33
TOT=20+15+22=57
Namba zote ni witiri , hivyo hiyo game naipa draw .
Mwambieeee uyoo ajuiiiiiiAnashinda Chelsea. Number yake ni ndogo kuliko ya spurs