JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Wakati wa The Jackson Five Jamii iliwapokea na kuwakubali kama kundi la Muziki lililosheheni vipaji. Baadae ilibainika kuwa Michael Jackson alikuwa na kipaji maalum kuliko wenzake, na tena haikuwa tu ni miongoni mwa kundi lao, bali ana kipaji cha kuiteka Dunia nzima. hali hii ilipelekea Jamii nayo kubaki na Michael na kuachana na ndugu zake, hatimaye kundi likaanza kupotea mdogo mdogo.
ANGALIA HAPA VITOTO JANET NA RANDY VIKIFANYA YAO.
ANGALIA HAPA VITOTO JANET NA RANDY VIKIFANYA YAO.