Nyota Mzimbabwe Jah Prayzah katika kashfa ya kukopi video ya Diamond Platnumz

Domo ndo kaiba huo mziki wa mzimbabwe
Kumbe ubishi mwingi humu unaendeashwa na mijitu isiyoenda shule kama kiazi hicho hapo juu.

Wanasema ameiga concept ya mdogomdogo. Ameendelea kusema kuwa wimbo huo wa jah umetoka mwaka mmoja baada ya Diamond kutoa wimbo wake wa mdogomdogo.

Shuleeeee, mwende shule. Hongera Chibu.
 


Mpe hongera usisahau kumzawadia 0715
 


Haya we mwenda shule lakini huna pesa
 
Hujaenda shule huwezi bishana nami, uwezo wako wa kufikiri upo chini ya uwezo wa binadamu wa chini. Mwisho wa kujibishana na mla unga.
 
Hujaenda shule huwezi bishana nami, uwezo wako wa kufikiri upo chini ya uwezo wa binadamu wa chini. Mwisho wa kujibishana na mla unga.


Hahahahahahahaa haya kachambe unanuka nya
 
Kwa Video hiyo.. Dimond ndiyo ka iga mwenzake..
 
yyani aanze kutoa yeye video halafu aigwe? hebu fafanua vizuri haya maajabu
Ni hivi... mimi naweza kuanza kuipika video kabla haijatoka, ukapewa wewe kwanza uifanyie kazi na kuitoa...
 
Ni hivi... mimi naweza kuanza kuipika video kabla haijatoka, ukapewa wewe kwanza uifanyie kazi na kuitoa...
ebu acha mara moja kuidhalilisha iyo ID yako mkuu,vyenginevo uibadili haraka maana haikubariki kbs,smart hawezi kuwa na fikra nyeusi km zako.
 
Ni hivi... mimi naweza kuanza kuipika video kabla haijatoka, ukapewa wewe kwanza uifanyie kazi na kuitoa...

kwa hiyo hivyo ndivyo ilivyotokea au unapenda ingetokea hivyo?
 
hauna picha ya huyo jizi
 
Rejea alichojibu diamond baada ya kashfa ya kukopi video ya lil wayne kwny nyimbo yake ya make me sing.. Says"hakuna kitu kipya , yote marudio ya video ambazo zishafanywa"xo hata ukiamua kuchimba utakutana hata na video ya zaman ya Namibia yenye mfumo wa mdogomdogo
 
Nameingalia hiyo video wala haiendani na mdogo mdogo... Wanamuonea tu huyo jamaa
Hata mie nimeiona hakuna uhusiano inanikumbusha hadithi ya mtoto wa mfalme aliekataa wachumba matajiri, ht wenye mbwembwe akamkubali maskini.Hii hadithi ipo tangu zamani sio kila ni DIAMOND JAMANI.
 
Hata mie nimeiona hakuna uhusiano inanikumbusha hadithi ya mtoto wa mfalme aliekataa wachumba matajiri, ht wenye mbwembwe akamkubali maskini.Hii hadithi ipo tangu zamani sio kila ni DIAMOND JAMANI.
Ni kweli mamii.. Ila humu watu wabishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…