Nyota nyekundu ya"Rednova"

Spice girls

Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
28
Reaction score
35
Wataalamu wa maswala ya anga wametabiri kwamba ifikapo mwaka 2022 kutatokea na nyota mbili kugongana na kulipuka na kuwa muunganiko wa nyota moja ambayo ni nyota ya "Rednova".Athari yake itajitokeza hapa duniani kwakuwa itaonekana kwambali.
Pia wayahudi"jews" katika kitabu chao kilitabiri tukio hilo kwamba ni dalili moja wapo kwa ujio wa Messiah (yesu).
 
Yajayo yanafurahisha
 
Kumbe Messiah Ni Yesu?

Yule Messi Wa Barcelona Alibaki Kidogo Awe Jizazi! πŸ˜€
 
mnapo sema jua ni moja kati ya mabilioni ya nyota na inaundwa kwa gesi sijui ya nini huko ambayo reaction yake ndo matokeo ya nishati tuliyonayo na 'point kuu ni kuwa yenyewe haijongei'

sasa hizo nyota zitakazo gongana hazina sifa kama za hili jua letu? nikimaanisha zenyewe zinajizungusha na kuzunguka kama zilivyo sayari?
 
Hiyo mistari ya mwisho mitatu ndo umeharibu kila kitu
 
Kumbe Messiah Ni Yesu?

Yule Messi Wa Barcelona Alibaki Kidogo Awe Jizazi! πŸ˜€
 
Kumbe Messiah Ni Yesu?

Yule Messi Wa Barcelona Alibaki Kidogo Awe Jizazi! πŸ˜€
 
Kati ya mambo yote yanayozungumzwa kuhusu anga na ulimwengu ni mawili tu hutokea.

Kupatwa kwa jua na kupatwa kwa mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…