MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Ninampenda sana Sharukh Khan, hana makuu na mtu na ni mtoaji. Nakumbuka Ra.One ilipofanikiwa aliwanunulia team members wake Bmw Series 7 Sedan cars za maana. Ni halali kwake kuwa anaingiza mapene akikimbizana na akina Tom Cruise.
Salman Khan kama sio rushwa angekua anakula kifungo cha maisha mpaka sasa.
hahahaha, "BADSHAH OF BOLLYWOOD"
Tom Cruise kaachwa mbali sana na Shahrukh kimkwanja, shahrukh's networth ni $600bn, Tom Cruise ni $480bn...kina Mel Gibson, Johnny Deep, Tom hanks, Mark Wahlberg, Robert Downey, George Clooney, Denzel na actors wengie wakubwa wa Hollywood, wote wanaBOW kwa shahrukh katika suala la pesa..jamaa ana pesa Aisee..Hollywood wenyewe huwa wanamwita "king" na Bollywood pia huwa anaitwa "King"..
am his biggest fan, but his recent movies have been crap,(kwa mtazamo wangu) kuanzia Chennai express (ambayo ilivunja records za mauzo ya 3 idiots), Happy New Year and Dilwale, nahisi " Raees" ndo itaturudishia the real Shahrukh, sidhan kama "fan" itakayotoka April itakuwa kali sana, "RAEES" nadhan ndiyo itakuwa funga kazi..
lol, it seems you hate Salman, well hiyo ni reasonable kwa kila Shahrukh fan, but kiukweli nadhan Raees ndo itakuja kuitop ile movie ya Salman "Bhaijaan Bajirangi" me ni SRK fan, but have to admit Salman kafanya mambo mule, bonge ya movie Aisee, itafute kama bado hujaicheki.