Nyota wa rugby wa australia ferguson blake asilimu, afurahia kuwa muislmu

Nyota wa rugby wa australia ferguson blake asilimu, afurahia kuwa muislmu

dos santos

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
256
Reaction score
128
Mchezaji nyota wa Rugby Blake Ferguson ametangaza kusilimu na kuwa muislamu katika msikiti wa zetland huko mji wa Sydney, Australia.


Ferguson mwenye umri wa miaka 23, alitamkishwa shahada ndani ya msikiti huo kama ishara ya kukubali na kuridhia uislamu kuwa ndio dini yake.


Kusilimu kwake kulihudhuriwa na waumini wengi akiwemo bondia Anthony Mundine ambaye naye amesilimu miaka mitano iliyopita karibuni.


Ferguson aliviambia vyombo vya habari kwamba ameuchagua uislamu kuwa dini yake na ana furaha kwa kuchagua uislamu.


Pia amewashukuru waliomsaidia kuutambua Uislamu na kuufuata. Ferguson ni mmoja wa wachezaji wakorofi katika ligi ya Rugby nchini Australia amepania kuwa mtu mwema kwa kupata muongozo mzuri kutoka katika Uislamu


Baada ya habari za kusilimu kwa mwanamichezo
huyo kuenea, wengi wa wanamichezo waliosilimu miaka ya karibuni walimpongeza kwa uamuzi wake wa kuwa muislamu.
source: www.ahbaabur.blogspot.com
 
hizi habari za kusilimu uwa zina haribu hali ya ewa na kuleta udini
 
ni taarifa tu mkuu nia si kuharibu hali ya hewa
kuna post uliyoweka kuhusu jackline wolper kurudi kwenye dini yake ya
ukristo, Hiyo haiwezi kuharibu hali ya hewa? hii hapa

hizi habari za kusilimu uwa zina haribu hali ya ewa na kuleta udini
 
ni taarifa tu mkuu nia si kuharibu hali ya hewa
kuna post uliyoweka kuhusu jackline wolper kurudi kwenye dini yake ya
ukristo, Hiyo haiwezi kuharibu hali ya hewa? hii hapa

utaamin ninachokwambia ngoja raia waamke.
kuhusu jackline ni kwamba tunaonyesha wadada walivyokuwa tayari kubadilisha dini ili wapate kitu wakishapata urudi kwa dini zao za mwanzo
 
Mwaayaaa Fg karibu katika dini ya kweli,kila mmoja mmoja atafata hii njia ya kweli


Ni maoni tu wajameni handsome stuna uchinirarueeeee
 
Tatizo aliyeleta mada anataka watu wazozane kila mtu upande wake huyu lazima mtaka shari.kuna mada nyingine unajua kbs hazina tija sehemu flani kwasababu unakiherehere unazilets tuu ili iweje sasa?
 
Back
Top Bottom