Nyota wa Serengeti boys apimwa matumizi ya dawa za kusisimua misuli

Nyota wa Serengeti boys apimwa matumizi ya dawa za kusisimua misuli

Wanataka kuwavunja nguvu wachezaji wetu tu hamna lolote hapo.
Wameshawaona kuwa ni tishio ndo mana.
Mkuu unajua kinachoendelea mjini au tumeamua kuishi kwa lawama
Wachezaji wanajua nini kinachoendelea labda wewe ndo huna taarifa hizo dawa zimepigwa marufuku kwahiyo yoyote anaweza kutakiwa kwajili kufanyiwa uchunguzi kama yeye ama timu yao inahusika kutumia hizo dawa wala sio figisu tuliza mzuka mkuu.
 
Huyu dogo ni hatari sana...anakipiga wapi hapa bongo?wasiwasi wangu wasije kudanganywa na timu za makomandoo wavaa ndala na mikia
Unataka akae mtaani bila kucheza mpira au umemuandalia timu ambayo haiwezi kumdanganya?
 
Nyota wa Serengeti boys aliefunga goli la pili Abdul Suleiman na aliechaguliwa kuwa man of the match katika mechi kati ya Tanzania na Angola jana mara baada mchezo kumalizika, madaktari wa CAF walimchukua na kwenda kumpima kama anatumia dawa za kusisimua misuli.

Hatua hiyo ilimfanya kushindwa kuchukua zawadi yake ya man of the match na zawadi hiyo kukabidhiwa Job kwa niaba yake.
Kwani alimaliza mchezo? Si wakimtoa na machela huyu mwishoni
 
Back
Top Bottom