Mkuu unajua kinachoendelea mjini au tumeamua kuishi kwa lawamaWanataka kuwavunja nguvu wachezaji wetu tu hamna lolote hapo.
Wameshawaona kuwa ni tishio ndo mana.
Unataka akae mtaani bila kucheza mpira au umemuandalia timu ambayo haiwezi kumdanganya?Huyu dogo ni hatari sana...anakipiga wapi hapa bongo?wasiwasi wangu wasije kudanganywa na timu za makomandoo wavaa ndala na mikia
Acha kujitoa ufahamu...Unataka akae mtaani bila kucheza mpira au umemuandalia timu ambayo haiwezi kumdanganya?
Kwani alimaliza mchezo? Si wakimtoa na machela huyu mwishoniNyota wa Serengeti boys aliefunga goli la pili Abdul Suleiman na aliechaguliwa kuwa man of the match katika mechi kati ya Tanzania na Angola jana mara baada mchezo kumalizika, madaktari wa CAF walimchukua na kwenda kumpima kama anatumia dawa za kusisimua misuli.
Hatua hiyo ilimfanya kushindwa kuchukua zawadi yake ya man of the match na zawadi hiyo kukabidhiwa Job kwa niaba yake.
Haya wewe mwenye ufahamu hewaraAcha kujitoa ufahamu...