pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Nikajua shakira wa Gerald Pique kumbe huyu mla vumbii[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc. Nyani Ngabu.
Heshima ipi sasa, bongo si kula vumbi tuu! unataka heshima ipi sasa? Ama unataka heshima ata usiyostahili[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuwa na matatizo..!Hakuna kitu kizuri kama heshima mkuu.
Yani wewe ni bonge la mshambaHeshima ipi sasa, bongo si kula vumbi tuu! unataka heshima ipi sasa? Ama unataka heshima ata usiyostahili[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuwa na matatizo..!
Asante baba nimekuelewa jeshi.la mtu mmoja sio kundi la wanamziki safi.sanaHapa ni Finland,usidhani ni Mlimani city au Darlive,kumbuka shoo hizi ni la jeshi la mtu mmoja na sio luuuuundo la wasanii.
simfahamuMuimbaji Bi. Shakira Said Hamis nguli wa nyimbo za taarabu asilia, ameleza kinaga ubaga mapenzi yake makubwa kwamba anatamani kufanya zingzong na diamond,
Bi. shakira hakuishia hapo baada ya kuulizwa swali ni msanii yupi angependa kufanya nae kazi alizidi kusisitiza kwamba diamond ndie msanii anae mpenda na anajua mziki hakika kijana huyu nyota yake kali sana.
Diamond changamkia baraka hiyo nivizuri sana kufanya kazi na nguli walio bobea kama hawa, hongera bi shakira ,
Nawasilisha.
Mkifa huko,mnasumbua kwa kutaka michango kwenye blogs ya kuwarudisha kwenye vumbi,mdharau kwao mtumwa tuHeshima ipi sasa, bongo si kula vumbi tuu! unataka heshima ipi sasa? Ama unataka heshima ata usiyostahili[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuwa na matatizo..!