Nyota ya Wizkid inazidi kung'ara

Wizkid ni msanii mzuri ...me napenda nyimbo zake zile za zaman kidogo kama ojuelegba caro lakini sio wa sasa ....

Kitu if na fall bna.....
 
Utamaduni wa mtu mweusi kwishney...
 
Tangu jaiye jaiye hajawai niangusha. He is a true starboy... Na mwaka huu atakuwepo kwenye tour ya future
 
Huyu mjomba ndio ashaitoa tena. Level zake sasa hivi sio za kina Rich Mavoko.
 
Sijui kwanini Diamond hajawahi omba kolabo kwa huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…