kikaragosi
Senior Member
- Nov 14, 2010
- 112
- 10
Nimeamini ukiwa na nyota ya punda shukrani ni MATEKE yapta wki mbili toka niachae na mpz wngu baada ya kuona dalili za kunichoka na nlipomweleza mambo yake aliniambia kuwa ana HISI ya kimapenzi na mm cku nyingi na hana sabbu imetokea tu ila bado ananipnda.Je nifanyeje wana JF na mi nampnda na nimeshamwbia 2we marafiki ila kila napomuona maeneo ya Chuo naumia sana nirudiane nae au Ntakuwa Zoba