Nyota zenu: Siku nzuri za kutongoza / kutongozwa na mbaya kwa kila nyota

Nyota zenu: Siku nzuri za kutongoza / kutongozwa na mbaya kwa kila nyota

1.NYOTA YA TWIGA:
Majina ya kuanzia na herufi A, M, Y.
Siku yao nzuri: Jumanne mchana Siku Mbaya: Jumanne usiku na Jumatano mchana Ni siku za Mikosi,
kutoswa, Kesi, na mabalaa, usitongoze, ni siku ya
mikosi na balaa kwa wale ambao ndio wameanza
kujiunga JF.
-

2.NYOTA YA MBUNI:
Majina ya kuanzia na herufi B, N, Z. Siku yao nzuri ya kutongoza ni : Jumatano mchana
Siku Mbaya: Jumamosi na Jumatano usiku Shida
yoyote ikikufikia wakati huu haiponi au itakumaliza.

-
3.NYOTA YA SAMSUNG GALAXY:
Majina yao kuanzia na herufi C, na O.
Siku yao nzuri: Jumatano mchana Siku Mbaya: Jumanne usiku na Jumatatu mchana
usipende ku like Thread za misiba

-
4.NYOTA YA PAPAI:
Majina ya kuanzia na herufi D au P.
Siku yao nzuri: Jumatatu mchana yakutongozana Siku
Mbaya: Jumanne mchana usipende kumtumia mtu salio au m-pesa utaibiwa

-
5.NYOTA YA BLACKBERRY.
Majina ya kuanzia na herufi E na Q Siku yao nzuri:
yakutongozana Jumapili Siku Mbaya: Alhamisi
mchana na Jumatatu mchana usipende kuapload
picha umeweka kidole juu siku ya jumamos usiku
-
6.NYOTA YA MENDE:
Majina yao kuanzia na herufi F na R. Siku yao nzuri:
Jumatano mchana Siku Mbaya: Jumanne jioni alafu
usipende kukopa tigo ndio uingie JF ipo siku watakata
deni kubwa

-
7. NYOTA YA CHATU: Majina ya kuanzia na herufi G na S. Siku yao nzuri ya
kutongozana: Ijumaa mchana Siku Mbaya: Jumatano
mchana na Jumapili usiku usipende kushinda inbox
siku ya jumanne usiku saa8 utakumbana na mabalaaa.

-
8.NYOTA YA TEMBO:
Majina ya kuanzia na herufi H na T. Siku yao nzuri yakutongozana: Jumanne mchana Siku Mbaya:
Jumatano mchana na Jumapili usiku pia usipende
kutumia camera 360 kupigia picha.

-
9.NYOTA YA MAMBA:
Majina ya kuanzia na herufi I na U. Siku yao nzuri
yakutongozana: Alhamisi mchana Siku Mbaya: Jumatatu mchana Uwe unakula kwanza ndio unaingia
JF ipo siku utadondoka kwenye home page

-
10.NYOTA YA NGURUWE:
Majina ya kuanzia na herufi J na V. Siku yao nzuri
yakutongozana: Jumamosi Siku Mbaya: Jumapili
mchana na Jumatatu usiku ukiwa una apload picha uwe uchi utapata wasichana kama wewe ni mvulana
na utapa wavulana kama wewe ni msichana

-
11.NYOTA YA BESENI:
Majina ya kuanzia na herufi K na W. Siku yao nzuri:
Jumamosi mchana Siku Mbaya: Ijumaa mchana
(Kufikwa na janga) kuhackiwa account.
-
12.NYOTA YA NYANGUMI:
Majina ya kuanzia na herufi L na X. Siku yao nzuri:
Alkhamisi yakutongozana (Fanya mipango na
biashara kuanzia asubuhi mapema) Siku Mbaya:
Jumamosi mchana na Jumanne usiku usipende
kukesha Jamiiforums mpaka saa8 usiku utakutana na popobawa mitaa ya home page
MWISHO
-
UTABIRI HUU UMEDHAMINIWA NA TIGO
TANZANIA WAKISHILIKIANA NA TANESCO KATA

dah aisee mkuu stunter uko vizuri sana
 
YNzWQv.gif
 
Back
Top Bottom