ANTHONY MPILUKA
New Member
- Nov 29, 2014
- 4
- 6
Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia.
Nifanyeje?
Nifanyeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uzoefu gani katika ufugaji wa nyuki? Au ni mara yako ya kwanza?Nina nzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko msibani nimeshindwa kjikaza jaman hapa ninavunjika mbavu mm jaman wananishangaa san!dah sihami Tz mie
Ndiyo kwanza naanzaUna uzoefu gani katika ufugaji wa nyuki? Au ni mara yako ya kwanza?
kitaalam zaidi wa check hawa www.pratanzania.orgNina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂
Mkuu nenda ukawaambie waingieNina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app