Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Hahaaah 😅😅 hauko crius
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaah 😅😅 hauko crius
Umeweka mizinga nn kuwavutia ?Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhamie wapi sasa huku kila kitu kipo isipokuwa pesaDah mkuu
Niko msibani nimeshindwa kjikaza jaman hapa ninavunjika mbavu mm jaman wananishangaa san!dah sihami Tz mie
Kwakweli aisee
Labda hawana kodi mkuuNina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Japo haitakiwi kucheka mwenzetu ana shida huyuu...
jf sio sehem salama kuingia wakati upo kwenye ibada au unavuka barabaraaa
Nishawahi fakamia karavatiii
Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
,,,[emoji15][emoji44][emoji15][emoji44][emoji15][emoji3166][emoji3166][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo makampuni yako wapi?Kuna makampuni sasa wanauza mizinga tayari ikiwa na nyuki ,fuga kisasa achana na njia za kienyeji
🙏🙏🙏Habari,
Ningependa kufahamu umeweka wapi mizinga hii?,je pana kivuli cha kutosha?
nakushauri uifungue mizinga na usafishe vizuri ndani,kwani kunaweza kuwa na wadudu wavamizi-ifute vizuri kwa kitambaa kisafi na ikiwezekana na maji ila usiweke sabuni.Hakikisha mizinga yako inakauka vizuri kwenye jua.baada ya hapo hakikisha hamna matobo tofuti na yale ya upande mmoja wanapoingilia nyuki--kama yapo hakikisha unayaziba.
Tafuta majani ya mchaichai(lemongrass) au nta(wax au masega ya zamani) na usugue ndani ya mzinga wa nyuki.Kwenye matobo ya kuingilia nyuki hakikisha pia unasugua na majani ya mchaichai.
utakapoweka mizinga-hakikisha hujaiweka chini kabisa-pawe na support au kichanja,na isiwe kwenye sehemu inayoingiza upepo directly kwenye mashimo(kama ni jangwani au kwenye upepo mkali hakikisha unaweka wind breakers.Pia hakikisha mizinga yako haipo mbali na chanzo cha maji--unless unapanga kuwawekea(kibeseni cha maji karibu na hapo)
Kila la kheri na natumaini utatupa mrejesho hapa.