Kumbe ni habari ya kusikia na iliyochanganyika na tetesi tu!!Wanazengo, nasikia kuna balaa zito mnazi mmoja, nyuki kama wote na kuna tetesi kua mmoja chini. Hali si hali wazee wenye ndumba au tutumie moshi tukaline asali kabisa?? Daah ila wanaume wa dar wanaogopa kadudu kadogo kama kale duuu...
#Poleni wahanga
mkuu unajua balaa la mjusi wewe?Wanaume wa huo mkoa mna matatizo sana wallah...
Kuna mmoja pia alikuja kuanzusha uzi jinsi alivyo pambana na mnyama mkali ndani kwake, na akaambatanisha na picha ya mjusi
Kama sikosei alikuwa JokajeusiWanaume wa huo mkoa mna matatizo sana wallah...
Kuna mmoja pia alikuja kuanzusha uzi jinsi alivyo pambana na mnyama mkali ndani kwake, na akaambatanisha na picha ya mjusi
Huku kwetu hao nyuki tunaishi nao kwenye jamii, na tunawafuga pia.mkuu unajua balaa la mjusi wewe?
huyu mdudu ni miongoni mwa wadudu wenye sumu kali sana kuwahi tokea katika dunia hii ya leo