zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,529
- 1,068
Wanazengo, nasikia kuna balaa zito mnazi mmoja, nyuki kama wote na kuna tetesi kua mmoja chini. Hali si hali wazee wenye ndumba au tutumie moshi tukaline asali kabisa?? Daah ila wanaume wa dar wanaogopa kadudu kadogo kama kale duuu...
#Poleni wahanga
#Poleni wahanga