Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
- Thread starter
-
- #21
US alikuwa anapigana vita Iraq na Afghanistan km 12,000 kutoka nyumbqni kwake khuku akiwapa ulinzi NATO, Japan, Korea Kusini na vituo vingine 700 vya kijeshi duniani kwenye nchi zaidi ya 50. Urusi anapigana vita vya umbali wa km 0 kutoka nyumbani kwake ila hana maajabu yoyote ya super power.
Jeshi la Marekani liliingia Iraq kama Urusi wanavyoingia Ukrain hakuna tofauti yoyote ispokuwa ya kimipaka tu.
Hao unaowaita magaidi ni wanajeshi wa Iraq walioshindwa kipambaba na midege ya NATO hivyo kubadili mbinu na kuingia vita ya mjini.
Vita ya mjini ndio kimbilio la majeshi yasiokuwa na nguvu duniani.
Unaonekana kupokea propaganda za kimagharibi za neno gaidi na kujenga imani thabiti.
Watu wanaopambania nchi yao dhidi ta wavamuzi wewe unawaita magaidi una akili kweli wewe?
Ulitaka USA akivamia nchi atandikiwe mikeka aingia kwa raha mustarehe!
Urusi anapambana na kile alichopambana nacho USA ktk hizo nchi, kwa hio tuite askari wa Ukrain magaidi kisa wamebadili tactic kama walivyofanya Afghanstan dhidi ya USA ?
Marekani ndio gaidi namba moja duniani, kama huamini sawa.