Nyuklia zina ubabe; Teknolojia ya kuzuia madhara ya silaha za nyuklia italeta mapinduzi makubwa katika uwanja wa vita

Nyuklia zina ubabe; Teknolojia ya kuzuia madhara ya silaha za nyuklia italeta mapinduzi makubwa katika uwanja wa vita

US alikuwa anapigana vita Iraq na Afghanistan km 12,000 kutoka nyumbqni kwake khuku akiwapa ulinzi NATO, Japan, Korea Kusini na vituo vingine 700 vya kijeshi duniani kwenye nchi zaidi ya 50. Urusi anapigana vita vya umbali wa km 0 kutoka nyumbani kwake ila hana maajabu yoyote ya super power.
Jeshi la Marekani liliingia Iraq kama Urusi wanavyoingia Ukrain hakuna tofauti yoyote ispokuwa ya kimipaka tu.
Hao unaowaita magaidi ni wanajeshi wa Iraq walioshindwa kipambaba na midege ya NATO hivyo kubadili mbinu na kuingia vita ya mjini.
Vita ya mjini ndio kimbilio la majeshi yasiokuwa na nguvu duniani.
Unaonekana kupokea propaganda za kimagharibi za neno gaidi na kujenga imani thabiti.
Watu wanaopambania nchi yao dhidi ta wavamuzi wewe unawaita magaidi una akili kweli wewe?
Ulitaka USA akivamia nchi atandikiwe mikeka aingia kwa raha mustarehe!
Urusi anapambana na kile alichopambana nacho USA ktk hizo nchi, kwa hio tuite askari wa Ukrain magaidi kisa wamebadili tactic kama walivyofanya Afghanstan dhidi ya USA ?
Marekani ndio gaidi namba moja duniani, kama huamini sawa.
 
Russian invented the NUKES in their own way! They didn't copy from western but Indian and Pakistan they harvested a loat from western lab.

Mwizi mkubwa wa Technolojia ya Nukes ni Abdisalam From Pakistan, huyo jamaa ndio alikuwa Supplier wa documents na vifaa nyeti vya kiutafiti in Middle East.

Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa Kuna mwanasayansi wa kirusi aliewahi fanya kazi kwenye nukes reseach centre, Warusi walipambana kivyao wakaja na teknolojia yao kama ilivyo kwa vifaa vingi. Usisikilize sana propaganda za magharibi.

Inasemekana Urusi ndio wanabomu lenye nguvu mara mia ya lile la hiroshima, hivyo wapo mbele ya wamagharibi
Watu wavivu wa kufikiri ni sisi waafrika na warabu.Hatuna BOMU la Nukes hivyo wazungu hawatuogopi kwa lolote.
Huwa nashangaa sana kwa nini waafrika tumelala hivi wakati wakorea walishajiongeza na hakuna wa kuwatisha tena.

Let us make AU BOM!!

Kuhusu kulipua mabomu hio ndio njia sahihi ya kupigana town warambapo mpinzani anajificha kwenye majengo na kukushambulia, njia hio ilitumika Afghanstan, Chechnya, Syria na sasa Ukrain( Do you think bom were invented tk blast the forest ? Absolute no !)

Hakuna Taifa babe linaweza kupigana vita ya mjini(terorism war) hata USA kafeli Afghan,Libya, Iraq, Somalia nk.

Russia anauzoefu sana na staili ya hio vita, isitoshe Russia hapigani na Ukrain tu bali anapigaba na NATO( Indirctly) , mengine ni propaganda tu!

Kumbuka mwanzo wa vita Vyombo vya magharibi vilidai eti msafara wa kijeshi wa Russia umekwama na hawatafanikiwa kuingia Ukrain, ukweli ni kwamba walifanikiwa kuingia na kuteja miji mingi tu pamoja na msaada mkubwa wanaopewa Ukrain.

Kubomoa mji ni mafanikio ktk vita , yani we mji kubaki magofu unaona ni ushindi, what kind of wining is that?
Uafrika ni laana hulijui hilo
 
The only concrete anti Nuclear ni kutokuwa na hii kitu popote pale duniani..., Hii kitu haitakiwi Kabisa..., Hata isipotumika kuwa nayo tu inaweza ikatokea uzembe na kusababisha madhara Duniani..., Kama kilichotokea Ukraine....


Kwahio the only anti nuclear ni kwa sisi tusionazo na wale wenye akili zao na sio barbarians kukubaliana kama dunia kuachana kabisa na huu upuuzi....
 
Mwafrika humu duniani ni mpita njia tu hana na hajui lolote lile yupo tu na kupigana majungu tu hajui hajui hajui lolote
 
Sema Putin anachofanya Ukraine Ni Ku destroy Nchi Ya Ukraine , Ukraine Now Ni Mwendo Wa Magofu
Na itajengwa kwa pesa Urusi ambazo zipo ktk mabenk mbali mbali huko US, Biden alisha sema Russia will pay for what they have done to Ukraine
 
Russian invented the NUKES in their own way! They didn't copy from western but Indian and Pakistan they harvested a loat from western lab.

Mwizi mkubwa wa Technolojia ya Nukes ni Abdisalam From Pakistan, huyo jamaa ndio alikuwa Supplier wa documents na vifaa nyeti vya kiutafiti in Middle East.

Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa Kuna mwanasayansi wa kirusi aliewahi fanya kazi kwenye nukes reseach centre, Warusi walipambana kivyao wakaja na teknolojia yao kama ilivyo kwa vifaa vingi. Usisikilize sana propaganda za magharibi.

Inasemekana Urusi ndio wanabomu lenye nguvu mara mia ya lile la hiroshima, hivyo wapo mbele ya wamagharibi
Watu wavivu wa kufikiri ni sisi waafrika na warabu.Hatuna BOMU la Nukes hivyo wazungu hawatuogopi kwa lolote.
Huwa nashangaa sana kwa nini waafrika tumelala hivi wakati wakorea walishajiongeza na hakuna wa kuwatisha tena.

Let us make AU BOM!!

Kuhusu kulipua mabomu hio ndio njia sahihi ya kupigana town warambapo mpinzani anajificha kwenye majengo na kukushambulia, njia hio ilitumika Afghanstan, Chechnya, Syria na sasa Ukrain( Do you think bom were invented tk blast the forest ? Absolute no !)

Hakuna Taifa babe linaweza kupigana vita ya mjini(terorism war) hata USA kafeli Afghan,Libya, Iraq, Somalia nk.

Russia anauzoefu sana na staili ya hio vita, isitoshe Russia hapigani na Ukrain tu bali anapigaba na NATO( Indirctly) , mengine ni propaganda tu!

Kumbuka mwanzo wa vita Vyombo vya magharibi vilidai eti msafara wa kijeshi wa Russia umekwama na hawatafanikiwa kuingia Ukrain, ukweli ni kwamba walifanikiwa kuingia na kuteja miji mingi tu pamoja na msaada mkubwa wanaopewa Ukrain.

Kubomoa mji ni mafanikio ktk vita , yani we mji kubaki magofu unaona ni ushindi, what kind of wining is that?
Ni miji miwili tu wameichukua mpaka sasa.
Halafu kubomoa miji katika vita sio ushindi, ni uhalifu wa kivita kulingana na sheria na mikataba mingi ya kimataifa, unakuwa huna tofauti na ISIS.
 
Sasa we unadhani Putin kama angekuwa yupo serious hao Ukraine masaa 24 inabaki majivu tu anachokwepa Putin ni kuingia mzozo na nje nyingine nje ya Russia ndio maana aliwataka raia wa Ukraine waondoke ili aendelee na vita hataki kuuwa wasio na hatia na Ukraine wanajificha,

kwenye kivuli hcho ila wale Ukraine kwa mrusi masaa 12 hamna kitu sema propaganda zinazofanywa inaonekana kama Russia ameshindwa kwasababu anatumia mda mwingi kumpiga Ukraine.
 
Sasa we unadhani Putin kama angekuwa yupo serious hao Ukraine masaa 24 inabaki majivu tu anachokwepa Putin ni kuingia mzozo na nje nyingine nje ya Russia ndio maana aliwataka raia wa Ukraine waondoke ili aendelee na vita hataki kuuwa wasio na hatia na Ukraine wanajificha,

kwenye kivuli hcho ila wale Ukraine kwa mrusi masaa 12 hamna kitu sema propaganda zinazofanywa inaonekana kama Russia ameshindwa kwasababu anatumia mda mwingi kumpiga Ukraine.
Africa tutaishia kusimulia na kushabikia vya wenye akili tu, muda huu na ww ungekuwa maabara unavumbua vya kwako lkn wapi kelele tuuu
 
US alikuwa anapigana vita Iraq na Afghanistan km 12,000 kutoka nyumbqni kwake khuku akiwapa ulinzi NATO, Japan, Korea Kusini na vituo vingine 700 vya kijeshi duniani kwenye nchi zaidi ya 50. Urusi anapigana vita vya umbali wa km 0 kutoka nyumbani kwake ila hana maajabu yoyote ya super power.
Kwa hio unataka atumie silaha za maangamizi Ukrain ipotee ndio ujue ni super power ?
Ukrain imeisha geuka magofu bado huamini kama Urusi ina nguvu za kijeshi.
NATO wamejazana humo kwa mgongo wa Ukrain.Kwa akili yako halisi bila kushikiwa na CNN,BBC na fox Ukrain anapigana vita na urusi ? Ukisema ndio basi mjadala umeisha.
Iraq waliivamia Kuwait UN wakiongozwa na USA walipeleka majeshi wazi wazi tena haraka.
Urusi wameivamia Ikrain hakuna nyoko alie peleka majeshi hadharani zaidi ya njia za panya halafu unasema eti urusi ni powerless.
Wewe bila shaka ni kijana mduchu usie jua historia kwa kujionea bali kusoma propaganda za magharibi. Endelea kuamini propaganda za magharibi.
 
Africa tutaishia kusimulia na kushabikia vya wenye akili tu, muda huu na ww ungekuwa maabara unavumbua vya kwako lkn wapi kelele tuuu
Hapa nilipo niko maabara mkuu nafanya tathmini ya samaki waliokufa wamesababishwa na nn
 
Ni miji miwili tu wameichukua mpaka sasa.
Halafu kubomoa miji katika vita sio ushindi, ni uhalifu wa kivita kulingana na sheria na mikataba mingi ya kimataifa, unakuwa huna tofauti na ISIS.
USA wameshitakiwa kwa kubomoa Iraq, Afaghan na Libya?
 
US alikuwa anapigana huko kote bila kutumia silaha za maangamizi na wanajeshi wake waliokufa Iraq na Afghanistan kwa miaka 20 ni sawa na wanajeshi waliokufa Ukraine ndani ya mwezi mmoja tu wa vita.
Kwa hio unataka atumie silaha za maangamizi Ukrain ipotee ndio ujue ni super power ?
Ukrain imeisha geuka magofu bado huamini kama Urusi ina nguvu za kijeshi.
NATO wamejazana humo kwa mgongo wa Ukrain.Kwa akili yako halisi bila kushikiwa na CNN,BBC na fox Ukrain anapigana vita na urusi ? Ukisema ndio basi mjadala umeisha.
Iraq waliivamia Kuwait UN wakiongozwa na USA walipeleka majeshi wazi wazi tena haraka.
Urusi wameivamia Ikrain hakuna nyoko alie peleka majeshi hadharani zaidi ya njia za panya halafu unasema eti urusi ni powerless.
Wewe bila shaka ni kijana mduchu usie jua historia kwa kujionea bali kusoma propaganda za magharibi. Endelea kuamini propaganda za magharibi.
 
Russian invented the NUKES in their own way! They didn't copy from western but Indian and Pakistan they harvested a loat from western lab.

Mwizi mkubwa wa Technolojia ya Nukes ni Abdisalam From Pakistan, huyo jamaa ndio alikuwa Supplier wa documents na vifaa nyeti vya kiutafiti in Middle East.

Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa Kuna mwanasayansi wa kirusi aliewahi fanya kazi kwenye nukes reseach centre, Warusi walipambana kivyao wakaja na teknolojia yao kama ilivyo kwa vifaa vingi. Usisikilize sana propaganda za magharibi.

Inasemekana Urusi ndio wanabomu lenye nguvu mara mia ya lile la hiroshima, hivyo wapo mbele ya wamagharibi
Watu wavivu wa kufikiri ni sisi waafrika na warabu.Hatuna BOMU la Nukes hivyo wazungu hawatuogopi kwa lolote.
Huwa nashangaa sana kwa nini waafrika tumelala hivi wakati wakorea walishajiongeza na hakuna wa kuwatisha tena.

Let us make AU BOM!!

Kuhusu kulipua mabomu hio ndio njia sahihi ya kupigana town warambapo mpinzani anajificha kwenye majengo na kukushambulia, njia hio ilitumika Afghanstan, Chechnya, Syria na sasa Ukrain( Do you think bom were invented tk blast the forest ? Absolute no !)

Hakuna Taifa babe linaweza kupigana vita ya mjini(terorism war) hata USA kafeli Afghan,Libya, Iraq, Somalia nk.

Russia anauzoefu sana na staili ya hio vita, isitoshe Russia hapigani na Ukrain tu bali anapigaba na NATO( Indirctly) , mengine ni propaganda tu!

Kumbuka mwanzo wa vita Vyombo vya magharibi vilidai eti msafara wa kijeshi wa Russia umekwama na hawatafanikiwa kuingia Ukrain, ukweli ni kwamba walifanikiwa kuingia na kuteja miji mingi tu pamoja na msaada mkubwa wanaopewa Ukrain.

Kubomoa mji ni mafanikio ktk vita , yani we mji kubaki magofu unaona ni ushindi, what kind of wining is that?
Huyo dogo anapenda zile ligi za ushindani, yupo kwenye nyuzi kibao za vita ya urusi na Ukraine. Hana analojua zaidi ya ushabiki maandazi wa west, yaani mtu anakufuata nchini kwako na raia wako wanakua wakimbizi na miundombinu pamoja na vifo vya kutosha, unasema ameshindwa vita.

Ukimuuliza lengo la urusi kuivamia ukraine ni nini hajui? Ukimuambia ni wap Russia alitangaza kuteka Ukraine within a week ? Hujui
Watoto mchele mchele kama hawa inabidi kuacha kubishana nao, unasoma uzi unasepa kimya.
 
Wewe kidampa unaelewa kwa nini Urusi ameivamia Ukraine?
Huyo dogo anapenda zile ligi za ushindani, yupo kwenye nyuzi kibao za vita ya urusi na Ukraine. Hana analojua zaidi ya ushabiki maandazi wa west, yaani mtu anakufuata nchini kwako na raia wako wanakua wakimbizi na miundombinu pamoja na vifo vya kutosha, unasema ameshindwa vita.

Ukimuuliza lengo la urusi kuivamia ukraine ni nini hajui? Ukimuambia ni wap Russia alitangaza kuteka Ukraine within a week ? Hujui
Watoto mchele mchele kama hawa inabidi kuacha kubishana nao, unasoma uzi unasepa kimya.
 
US alikuwa anapigana vita Iraq na Afghanistan km 12,000 kutoka nyumbqni kwake khuku akiwapa ulinzi NATO, Japan, Korea Kusini na vituo vingine 700 vya kijeshi duniani kwenye nchi zaidi ya 50. Urusi anapigana vita vya umbali wa km 0 kutoka nyumbani kwake ila hana maajabu yoyote ya super power.
Ndio maana watu wenye akili wanaondoka hapa JF, au wanaamia kukaa kimya tu. Maana vilaza na viazi kama nyinyi hamuwezi hoja zaidi ya uongo, ligi za kubishana na utoto.

Nenda ka Google tena US aliweka kambi wapi kabla ya kuwapiga iraq. Pia Google zilikua nchi ngapi zilizompiga Ukraine.
 
Tunapiga popte alipojificha adui,Haijalishi Ni wapi.

Juz vikosi vya Ukraine waliweka kambi kwenye basement ya mall kubwa mjini KYV, Tumeshambulia pale lale.

Nini sasa kifanyike?
Waambieni wanajeshi wenu waache kuyatumia majengo ya kiraia.
IMG_20220323_184346.jpg
IMG_20220321_170657.jpg
IMG_20220321_170650.jpg
JamiiForums-1567163989.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hio unataka atumie silaha za maangamizi Ukrain ipotee ndio ujue ni super power ?
Ukrain imeisha geuka magofu bado huamini kama Urusi ina nguvu za kijeshi.
NATO wamejazana humo kwa mgongo wa Ukrain.Kwa akili yako halisi bila kushikiwa na CNN,BBC na fox Ukrain anapigana vita na urusi ? Ukisema ndio basi mjadala umeisha.
Iraq waliivamia Kuwait UN wakiongozwa na USA walipeleka majeshi wazi wazi tena haraka.
Urusi wameivamia Ikrain hakuna nyoko alie peleka majeshi hadharani zaidi ya njia za panya halafu unasema eti urusi ni powerless.
Wewe bila shaka ni kijana mduchu usie jua historia kwa kujionea bali kusoma propaganda za magharibi. Endelea kuamini propaganda za magharibi.
Nikweli kbs wanapeleka majeshi kimaficho, lkn hatahivyo tyr Putin amesha listukia hio ndio maana katangaza kufyatua Nuklia
 
Back
Top Bottom