Nyuklia zina ubabe; Teknolojia ya kuzuia madhara ya silaha za nyuklia italeta mapinduzi makubwa katika uwanja wa vita

NI JAMBO LA MUDA TUNYUKLIA ITAKUWA SI KITISHO TENA.
Wamarekani wana kikosi maalumu cha kupambana na shambulizi na nyuklia na wameanza mazoezi,naamini wanacho kitu hatujui kuhusu siraha hizo,tutajua siku shambulizi litatokea baada ya kuona watachofanya,
Tusubiri,zipo siraha za kujilinda na kushindia nyingi sirini hatuzijui na hazijtambuliswa,hizi tunaona kwa TV ni zile wanazolenga kufanyia biashara lazima wazioneshe,jamaa wapo mbali ya hapa tunapoona
 
tahira hili
 
Kabisa.
 
US alikuwa anapigana huko kote bila kutumia silaha za maangamizi na wanajeshi wake waliokufa Iraq na Afghanistan kwa miaka 20 ni sawa na wanajeshi waliokufa Ukraine ndani ya mwezi mmoja tu wa vita.
Mkuu ulishiriki kuwahesabu?
 
Kremlin wamewahasibu wenyewe na media yao moja ilichapisha taarifa ya vifo vya wanajeshi 10,000 kabla haijambiwa iondoe hiyo taarifa mtandaoni.
Mkuu ulishiriki kuwahesabu?
 
UKWELI MTUPU MKUU NGOJA WARUSI WEUSI WAFUASI WA RAISI KICHAA ASIEJITAMBUA WAJE KUKUSHAMBULIA😂😂😂

Warusi weusi wa Buza
Hii vita Haina faida kwetu

Sanasana tutarudi kwenye umasikini wa kutupwa

Iwe uko pro USA or pro russia

I am sure Ukraine means nothing to the world

If it did… wangeongea hawa wakubwa
 
Yaani wewe unazungumzia hiroshima na nagasaki mwaka 2022? You dont know what you are talking abt. Kuna watu wamenyamaza wanajua wana nini. Achana na hawa wanaofanya show off za kutishia... Usa wana silaha mbaya sana za maangamizi wanachofanya ni kuangalia Russia ,Korea wanafanya nini....then wana counter wananyamaza ili jamaa waendelee kuamini wana silaha kali. Kwani miaka ile saddam anatishia Scud. Usa walikuwa wanaonesha nini? Vitani ikawaje? Be ware of the silent man in the room.
 
Kwa navojua mimi nchi inayoongoza kutangaza silaha zake ni marekani na ndie anaezilazimisha nchi unachama zinunue silaha zake..maana kwake ndio moja ya biashara kubwa na ni lazima azitangaze ili kuonesha kuwa ni za kisasa kuliko za upande wa pili(russia, china, nk) na mjue kuwa karibia kampuni zote zinazozalisha silaha Marekani ni za kampuni binafsi(lockheed martin, northrop grumman, boeing n.k) ambayo mara nyingi yanaangalia zaidi faida kuliko ufanisi mfano mzuri kwenye tenda ya ndege za f-22 raptor ambazo zilipewa sifa nyingi huku zikiuzwa bei juu mno pamoja na gharama za kuziendesha lakini ilionekana zina matatizo kibao na kupelekea uzalisha kusitishwa na kuamua kuhamia kwenye f-35(ambazo pia inaoenekana bado zina matatizo yake).

Na hawa jamaa wa makampuni ya silaha wana ushawishi mkubwa kwenye serikali ya marekani na wengine ni viongozi wenye hisa zao kwe hizi so called military industry complex.
 
Kwenye sekta binafsi yenye ushindani kama ya silaha huwezi kupata faida kubwa kama hauna ufanisi.
 
Kweli kabisa kupatikana kwa technology ya kuharibu nuclear weapons yatakuwa mafanikio makubwa sana kama viumbe wa dunia tunaoishi kwenye karne hii....tumechoka na vitisho vya hawa mabwana wanaomiliki haya masilaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…