Russian invented the NUKES in their own way! They didn't copy from western but Indian and Pakistan they harvested a loat from western lab.
Mwizi mkubwa wa Technolojia ya Nukes ni Abdisalam From Pakistan, huyo jamaa ndio alikuwa Supplier wa documents na vifaa nyeti vya kiutafiti in Middle East.
Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa Kuna mwanasayansi wa kirusi aliewahi fanya kazi kwenye nukes reseach centre, Warusi walipambana kivyao wakaja na teknolojia yao kama ilivyo kwa vifaa vingi. Usisikilize sana propaganda za magharibi.
Inasemekana Urusi ndio wanabomu lenye nguvu mara mia ya lile la hiroshima, hivyo wapo mbele ya wamagharibi
Watu wavivu wa kufikiri ni sisi waafrika na warabu.Hatuna BOMU la Nukes hivyo wazungu hawatuogopi kwa lolote.
Huwa nashangaa sana kwa nini waafrika tumelala hivi wakati wakorea walishajiongeza na hakuna wa kuwatisha tena.
Let us make AU BOM!!
Kuhusu kulipua mabomu hio ndio njia sahihi ya kupigana town warambapo mpinzani anajificha kwenye majengo na kukushambulia, njia hio ilitumika Afghanstan, Chechnya, Syria na sasa Ukrain( Do you think bom were invented tk blast the forest ? Absolute no !)
Hakuna Taifa babe linaweza kupigana vita ya mjini(terorism war) hata USA kafeli Afghan,Libya, Iraq, Somalia nk.
Russia anauzoefu sana na staili ya hio vita, isitoshe Russia hapigani na Ukrain tu bali anapigaba na NATO( Indirctly) , mengine ni propaganda tu!
Kumbuka mwanzo wa vita Vyombo vya magharibi vilidai eti msafara wa kijeshi wa Russia umekwama na hawatafanikiwa kuingia Ukrain, ukweli ni kwamba walifanikiwa kuingia na kuteja miji mingi tu pamoja na msaada mkubwa wanaopewa Ukrain.
Kubomoa mji ni mafanikio ktk vita , yani we mji kubaki magofu unaona ni ushindi, what kind of wining is that?