mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Singida Fountaine Gate FC na Singida Black Stars.
Habari nataka kujua nyuma ya hizo timu kuna nani? Je, mkoa wa Singida unashindwa kuazisha timu kuazia chini hadi kuja ligi kuu?
Naomba kujua mmiliki wa hizi timu jamini.
Kama boss ni mmoja anatakiwa autengeneze academics iliyo bora kuliko kununua hizi timu namuonea huruma pesq yake anayotoa.
Habari nataka kujua nyuma ya hizo timu kuna nani? Je, mkoa wa Singida unashindwa kuazisha timu kuazia chini hadi kuja ligi kuu?
Naomba kujua mmiliki wa hizi timu jamini.
Kama boss ni mmoja anatakiwa autengeneze academics iliyo bora kuliko kununua hizi timu namuonea huruma pesq yake anayotoa.