Nyuma ya Pazia katika Massage Parlour

hhahaaahaa mtajipatia maradhi kibao, mabacteria, mafungus na hyo mitaulo. khaa kchefuchefu, raha ya massage ufanye/ufanyiwe na mwenzi wako tena mkiwa mko sehemu yenu na vifaa vyenu wenyewe.

sasa hawa sisi ndo wenzi wetu...na tunawapenda mwanzo kati mwisho...utuache miaka 800 tulaleeee
 
Wife wangu mi namnyoaga mwenyewe nywele za Ikulu hasa anapokua mjamzito, hizo huduma mi hapana bana, nilipitaga Kariakoo siku 1, tena wala sikua na shida ya Kunyoa, shida yangu ilikua M-pesa, nimehudumiwa vizuri na hiyo huduma ya M-Pesa then nikaona ninyoe kabisa, du mbona majanga? Si nikaambiwa nijichagulie mwenyewe wa kunifanyia yale mambo fulani? Aiseee, nilimshinda Shetani kwa tabu sana, lazima niwe mkweli hapa, na mfukoni nilikua nina misimbazi ya kutosha tu but anyway, shetani alishindwa siku ile! Labda swali kwa Babu DC, bado ataendelea kutwambia tusiende Kigali? Mbona hata Dar hapa haya mambo yapo?
 
Dah! Uzi umenisisimua mno!

Yani utadhani kuna mtoto wa kaskazini kweli alikuwa ananifanya massage!

Naanza mishe za kuizunguka kino sasa rasmi!

barafu nipe vituo mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Hapo wale wenye matatizo ya kusimamisha dushe wanatakiwa kuingia maeneo kama haya!!

Process ilivyoelezewa, ni dhahiri kwamba wadada hawa na ma-expert aisee! Hapo hata simba anageuka kondoo!
 
Kwa. sasa ntazipata wapi???Maana hapo palipoelekezwa maduka yoote yamevunjwa,Unajengwa ukuta
 

Ila kunawengine wabishi kweli.
 

Kweli kabisa
 
baadhi hizi hapa

Full Moon Massage.
Mariams Massage.
Anitas Massage.
Mayfair Shopping center Massage.
Shoppers Plaza Mikocheni Hair and
Massage.
Beauty and massage Palour near
Billionaires club Mikocheni.
Salhas Massage.
Lisa Massage.
Jangwani hotel massage.
Serena Inn Spa and Massage.
9fourteen Massage & Spa.
Anantara Spa at Hyatt Regency Dar es
Salaam, The Kilimanjaro.
Rio Gym and Spa.
SkinDeep.
Magic Hand.
SpaatBlue Pearl Hotel.
The Touch Spa.
Arena Spa.
Cleopatra's Spa
Executive Therapy Centre.
Radiant Health and massage.
Oriental Care Spa.
High Care Center.
Lemon Spa.
Radelicious Spa & Salon.
 

Zote zina wadada wenye tabia zinazofanana? Ni zipi nzuri kuliko zingine?
 
hivi bado zipo? Excel hebu niambie uliwahi kuzikagua....?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…