Nyuma ya pazia kufungwa kwa wasafi festival;udini ulitawala onyesho

Nyuma ya pazia kufungwa kwa wasafi festival;udini ulitawala onyesho

Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Kuwaza udini ni ujinga zaidi ya kunywa gongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Inawezekana huo ubani ulikuwa kama camouflage ya aina fulani kukata harufu ya kitu fulani hivi-Bangili
 
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Ni kwel wakristo walikatazwa kusoma sala zao Au palikuwepo hakuna wa kufanya maombi kwenye huo upumbavu,ni Mchungaji au padri gan aitwe na wasafi akasome Dua kabla ya kuanza tamasha la kumtukuza na kumwinua shetan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Hahahaha hivi watanzania tunanini jamani??
 
Una habari kwamba adhana ni muziki?..
Qaswida je?..unajua maana yake!!
Ndugu usijaribu kuonyesha ujinga wako ...au unaona ufakhari kujulikana nawe umechangia humu maana ushavaa jezi kwa ajili ya mechi
 
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Kwani nchi ina dini ngapi. Kuna wakristo 65% na waislam 35%. Waisilam huwa wanamwambia diamond atubu amrudie Mungu sasa inakuwaje shehe kubaliki tamasha. Mzee Yusuph aliamua kuachana na miziki ya dunia ili amfuate Mungu sasa ni shehe gani anaenda kuombea miziki ya kind dunia. Mchungajihebu makubwa nchini asingeweza kwenda kubaliki kabla show haijaanza. Dini zingewekwa pembeni. Yeye apige kazi.akiendelea kufungiwa lazima atapotea kwenye Ramani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya qaswida?
Ndo maana nikasema mziki na Uislamu wapi na wapi ...hizo kaswida za Aina gani ...Kama kasida Zina vinanda na ngoma hata ziwe zinaimbwa ndani ya msikiti hazihalalishi Kama ndo ziwe zinafaa
 
Ndo maana nikasema mziki na Uislamu wapi na wapi ...hizo kaswida za Aina gani ...Kama kasida Zina vinanda na ngoma hata ziwe zinaimbwa ndani ya msikiti hazihalalishi Kama ndo ziwe zinafaa
Sawa,allahu akbar..
 
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Umbea tu hakuna ukweli wowote hapo huu ni uongo kama ulivyo uongo mwingine
 
acha unanaa...mkuu, usiwe na kiherehere cha mwangimba.
 
Back
Top Bottom