Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Mbele ya hela mzeebaba u-sheikh unakaa pembeni kwanza,kwa kizazi hiki MUNGU kazi anayo..Hakuna sheikh atakayesoma dua kwenye tamasha la muziki
Una habari kwamba adhana ni muziki?..Write your reply...Muziki na dini ya kiislamu wapi na wapi
Kuwaza udini ni ujinga zaidi ya kunywa gongoUnaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Inawezekana huo ubani ulikuwa kama camouflage ya aina fulani kukata harufu ya kitu fulani hivi-BangiliUnaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
labda kipozeo maana ni muajiliwa wa wasafi media
Ni kwel wakristo walikatazwa kusoma sala zao Au palikuwepo hakuna wa kufanya maombi kwenye huo upumbavu,ni Mchungaji au padri gan aitwe na wasafi akasome Dua kabla ya kuanza tamasha la kumtukuza na kumwinua shetan?Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Jf mna majibu...!![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Hahahaha hivi watanzania tunanini jamani??Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Ndugu usijaribu kuonyesha ujinga wako ...au unaona ufakhari kujulikana nawe umechangia humu maana ushavaa jezi kwa ajili ya mechiUna habari kwamba adhana ni muziki?..
Qaswida je?..unajua maana yake!!
Kwani nchi ina dini ngapi. Kuna wakristo 65% na waislam 35%. Waisilam huwa wanamwambia diamond atubu amrudie Mungu sasa inakuwaje shehe kubaliki tamasha. Mzee Yusuph aliamua kuachana na miziki ya dunia ili amfuate Mungu sasa ni shehe gani anaenda kuombea miziki ya kind dunia. Mchungajihebu makubwa nchini asingeweza kwenda kubaliki kabla show haijaanza. Dini zingewekwa pembeni. Yeye apige kazi.akiendelea kufungiwa lazima atapotea kwenye Ramani.Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Unajua maana ya qaswida?Ndugu usijaribu kuonyesha ujinga wako ...au unaona ufakhari kujulikana nawe umechangia humu maana ushavaa jezi kwa ajili ya mechi
Ndo maana nikasema mziki na Uislamu wapi na wapi ...hizo kaswida za Aina gani ...Kama kasida Zina vinanda na ngoma hata ziwe zinaimbwa ndani ya msikiti hazihalalishi Kama ndo ziwe zinafaaUnajua maana ya qaswida?
Sawa,allahu akbar..Ndo maana nikasema mziki na Uislamu wapi na wapi ...hizo kaswida za Aina gani ...Kama kasida Zina vinanda na ngoma hata ziwe zinaimbwa ndani ya msikiti hazihalalishi Kama ndo ziwe zinafaa
Uislamu hauko hivyo mnavyotaka nyie nduguSawa,allahu akbar..
Umbea tu hakuna ukweli wowote hapo huu ni uongo kama ulivyo uongo mwingineUnaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume