[emoji23] Hebu ficha upumbavu kwa kukaa kimya
Tenda ilitangazwa kwenye vyombo vyote vya habari hata humu jamii forum ipo wadau walileta
Hakuna kampuni yeyote ingeweza toa bil 220 zaid ya azam , kimsingi hakuna ambae angevuka hata bil 5 kwa mwaka
DStv atoe hiyo pesa kwa miundo mbinu gani aliyonayo hapa nchini? Watanzania wanaofuatilia Ligi ya Tanzania n wangapi wanaweza lipia DSTV?? Kwamba DSTV wao n wapuuz wamwage tu pesa ambazo wanajua hawatoweza rudisha? Hebu acha ujinga
Unafananisha ligi ya bongo vs South Africa?
Mkuu karibu sana katika majadiliano ya HOJA. Ninaamini unajua sheria za manunuzi kwa namna moja.
-
Kutangazwa kwa tenda haimaanishi chochote kama mchakato mzima wa manunuzi ukiwa COOKED. Kutangaza huko inakuwa ni kukamilisha taratibu ili ionekane taratibu zilifuatwa.
-
Kama ulivyosema HAKUNA kampuni yoyote ambayo ingezeweza , hayo ni majibu yako kabla ya mtihani.
-
Wewe umeona TANGAZO , sisi tumeeona Tender Document ambayo kimsingi Bidders were not informed in advance kuwa the contract duration itakuwa ni miaka 10 . Hata ukiangalia hako katangazo kako ka invitation to tenderers unapata majibu.
-
Kwa mujibu wa PPA’11, Framework Agreement ni miaka 2. Lengo kuu ni to take into consideration value for money and price fluctuation over time as well as demand variations. Kwa mfano kuna uwezekano ndani ya miaka 2 ijayo, active customers wa AZAM ambao ni registered waka double au increase significantly, while PIN ya AZAM itakuwa pale pale ni bil 225 kwa miaka 10 ; wakati huo huo kuna demand increases , price fluctuation kwa maana baada ya demand ikiongezeka, kuna uwezekano price ya kuona hayo matangazo ika shoutout, kwa sababu tayari Mkataba ulishasainiwa, there is no room wewe to amend contract terms .
I am pretty sure utakuja kulia lia hapa hapa JF. Hii ndiyo sababu tunahoji contract duration ya huo mkataba on which GROUND ? Kufanya hivyo ni kufunga milango ya kuboresha mapungufu SUPPLIER yaani Supplier Performance.
Aidha, ukifanya Performance Evaluation ya existing Contract, hajafika 55% . Kuna watu wengi walikuwa wanashindwa ku access hizo matches na channels despite kwamba mtu kalipia. Kuna mechi nyingi zilikuwa za KUMRADHI hatutoweza kuonesha match fulani kwa sababu fulani.....hiyo ndiyo maana ya Supplier Performance na inatoa ROOM kumpin service provider wakati wa contract renewal. Sasa umempa miaka 10 ya UHAKIKA, kwa Sheria za manunuzi maana yake ni HARUFU , and it has to be investigated.
Ni sawa na ule MKATABA wa Bagamoyo, ni PIN ya muda mrefu, MWENDAZAKE akausimamisha kwa sababu ulikuwa ni ANGAMIZO japo kwa nje ulionekana UNATIJA.
-
Tunapojadili haya mambo wengi huonesha HISIA badala ya UHALISIA ; hii ndiyo shida ya KIZAZI hiki, uwezo wa kufikiri upo chini sana