Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Hivyo ulivyotaja wewe vimefanyaje sasa? Usiwe pimbi ndio maana imeelezwa pesa itakuwa inaongezeka kwa kipindi chote cha miaka 10Okay, share hapa ilipotangazwa.
Hoja ya pili, contract duration na value for money unaizungumziaje, tunajadili Chief acha kupanic huenda ukajifunza kitu in the process
Hizo gharama za uwekezaji zote ni sehemu ya consideration katika kutoa duration ya tenda, ndio unaona mikataba bandarini na sehemu nyengine ambazo zinahitaji uwekezaji mkubwa na maalum, ni nadra mzabuni kupewa tenda ya muda mfupi (kati ya mwaka mmoja na mi tano). Kwa vyovyote vile kama hakupata washindani waliopeleka andiko (proposal) bora kuliko zake (zote 2) haiwezi kuwa kosa lake, sababu huchagui washindani ktk mchakato wote wa tenda wala huwapangii washindani chakupropose.« Sasa akipata mkataba wa miaka mitatu anaweza kupata hasara maana itabidi ashindanie tenda na anaweza kukosa, kwahiyo Kuna ambo mengi Sana kuhusu huo mkataba. »
[emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426]
Kwa maelezo yako hapo juu mjomba wewe ukienda pale TAKUKURU kuhojiwa , ujue ndiyo safari yako imefika hapo . Hautorudi tena maana mule mule ndani wana kaselo kao. Watakutunza mpaka wakupeleka
Kisutu kwa maelezo zaidi.
Taratibu hazipo hivi chief, suala la cost operations halina uhusiano na contract duration. Ni aina nyingine ya UKAKASI ulio jificha. Hauwezi plan kuandaa Mkataba wenye favor kwa Supplier au service provider eti kisa atakuwa na operation cost kubwa hivyo tumpe wa muda mrefu ili apate faida bila ya kujali VFM. UTAFUNGWA WEWE!
Umeongea kitu cha ajabu sana. Probably ni out of your knowledge
Wewe ulitoa dau la miaka mingapi?
Wasiwasi yangu we shabiki wa simba bil20 aijatolewa lakini timu mshampa mmemwambia akalale nayo chini ya mtoNeema imepatikana kuanzia TFF mpaka vilabu, funika kombe mwanaharamu apite, mambo mengine ni kuyaacha tu, kuna sheria, kanuni na taratibu nyingi kwenye mambo mengi tofauti tofauti zimevunjwa kwenye hii nchi, hili la TFF na Azam isiwe ajabu bana.
Safi ,dogo fala sana huyu.
Unaonaje wangepewa TBC? au basi Star TV?Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.
Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.
Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.
TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.
Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Hivyo ulivyotaja wewe vimefanyaje sasa? Usiwe pimbi ndio maana imeelezwa pesa itakuwa inaongezeka kwa kipindi chote cha miaka 10
...kuna sheria, kanuni na taratibu nyingi kwenye mambo mengi tofauti tofauti zimevunjwa kwenye hii nchi... POKEA KONGORE ZANGU.Neema imepatikana kuanzia TFF mpaka vilabu, funika kombe mwanaharamu apite, mambo mengine ni kuyaacha tu, kuna sheria, kanuni na taratibu nyingi kwenye mambo mengi tofauti tofauti zimevunjwa kwenye hii nchi, hili la TFF na Azam isiwe ajabu bana.
We kichwa maji usiye jua hata Kama tenda ilitangazwa ni kupoteza Muda kukuelewesha.Wewe ni tatizo. Una reasoning ya ajabu and very subjective. Na haujui lolote kuhusu manunuzi
DStv wanadharau sana ligi yetu wacha waisome namba sisi na azam tu hata miaka 100Una miaka mingapi dogo!?? Miaka 5 nyuma hii ligi lin okiwa haielewek mdogo Angu tulikuwa tunafatilia mpira kwa redio
Azam, katusaidia sana DSTV tuliwabembeleza sana watusaidie kuonyesha ligi lakini waligoma walikuwa wanataka mechi za watani tu.
So usiwabeze Azam mdogo wangu kisa umeikuta ligi inaonyeshwa unashinda kibanda umiza jamaa wamewekeza sana ni muda wao wa kula matunda sasa.
Wanachonifurahisha azam wako tayari kukuza soka letu, watasapot timu zetu pia.
Hoja hiyo ya vifurushi kupanda ni dhahiri. kwa mpunga uliowekwa usitegemee bando likawa 20k kama ilivyo sasa. Azam hawafanyi charity pale wanafanya biashara. Tegemea hilo.Sina tatizo na udhamini lakini upande wa TFF hawakuwaza vizuri makubaliano ya miaka 10,ndani ya miaka 10 Azam wanaweza kufanya watakavyo maana hakutakuwa na mshindani mwingine,kutakuja mda hata vifurushi vya kuangalia mpira vitapandishwa na hamna uwezo wa kuhoji wakisema hawapati faida.
Imagine ndani ya miaka 10 ni derby ngapi za Simba vs Yanga itawaingizia hela nyingi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumejaaliwa wajinga kwenye hili taifa, hadi rahaNext time jifunze KUANDIKA vyema.
Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.
Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.
Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.
Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.
Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.
Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
😂 Hebu ficha upumbavu kwa kukaa kimyaOkay, share hapa ilipotangazwa.
Hoja ya pili, contract duration na value for money unaizungumziaje, tunajadili Chief acha kupanic huenda ukajifunza kitu in the process
Kwamba hutaki Azam wapige pesa? Hizi akili za kimasikini baadhi yenu zipo damuni kabisa
Anataka azam wapate hasaraKwamba hutaki Azam wapige pesa? Hizi akili za kimasikini baadhi yenu zipo damuni kabisa
[emoji23] Hebu ficha upumbavu kwa kukaa kimya
Tenda ilitangazwa kwenye vyombo vyote vya habari hata humu jamii forum ipo wadau walileta
Hakuna kampuni yeyote ingeweza toa bil 220 zaid ya azam , kimsingi hakuna ambae angevuka hata bil 5 kwa mwaka
DStv atoe hiyo pesa kwa miundo mbinu gani aliyonayo hapa nchini? Watanzania wanaofuatilia Ligi ya Tanzania n wangapi wanaweza lipia DSTV?? Kwamba DSTV wao n wapuuz wamwage tu pesa ambazo wanajua hawatoweza rudisha? Hebu acha ujinga
Unafananisha ligi ya bongo vs South Africa?