Nyumba aliyoishi RC wa Iringa Dr. Kleruu kabla ya kuuawa na Said Mwamwindi

Cheza na Simba siyo muhehe maana tukisema swela tunabandua kichwa
 
Asante babu kwa kunipa Mwanga. Naweza kukuamini sasa manake wengi watoto wa tisini wanapotosha kuusu hii case
 
Alinyongwa, Mwalimu alimsihii akane awe aliua bila kukusudia alikataa katu. Dr. Kreluu alikua mwasherati wa kutembea na watoto pia wake za watu. Adabu aliipata, shujaa Mwamwindi..
Shujaa wakati aligongewa mke???ushujaa angeuonyesha kwa kumchakaza mkewe p*mb* mpaka mashine iwake moto aache kuruka ruka ila alioufanya ni ushamba.

Nilikuwa namkubali ila sikujua kisa kumbe yalikuwa mapenzi!
 
Naam umenena ukweli haswa ndivyo ilivyokuwa
 
Kwahiyo unataka kusema akina Mwamwindi wanahitajika sana nyakati hizi?
 
Nilitaka nishangae tangu lini Mwafrika akawa tayari kuuwa kwa ajili ya kutetea kile anachokiamini yaani itikadi? Sana sana ukisikia Mwafrika kaua ujue ni mapenzi tu hapo hamna kingine, ngono ndiyo namba moja!
Unakunywa bia gani?
 
Huyu Dr.krelyuu mbali na kusimamia kijinga sera za ujamaa pia aikua anafanya ujamaa kwa Mke wa Mwamwindi
 
Hii haij
Hii haijamalizika kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…