Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
Nyumba au pagale?
Kweli kabisa mkuuSi Bora ukae kimya tu mzee, mtu kasema anauza nyumba na hauwezi kununua muache aendelee na biashara tena unauliza nyumba au pagale wakati picha zinaonekana si unaharibu biashara ya watu
Kaa kimya kama upande sio wako
Akili za kimasikin tu
Kweli kabisa mkuu
Usipende kusapoti ujinga.Unaelewa tofauti kati ya gari,bodi la gari na matairi vikiachanishwa?Kweli kabisa mkuu
Huo ni uchawi wa wazi wazi wewe unalo hilo pagale acha kauli chafuNyumba au pagale?
Sasa hiyo ni nyumba au gofu/pagale? Acheni utipii. Ndiyo ninyi madalali mnaopiga picha za vitu kisaniisanii ili kuhadaa wateja. Kwa nini asingeandika 1-jengo ambalo halijakamilika? 2-jengo linalohitaji umaliziaji? au 3-simply pagale?Huo ni uchawi wa wazi wazi wewe unalo hilo pagale acha kauli chafu
Pagale ni Kama ingekua haijapigwa bati, Sasa nyumba ina Hadi madirisha na Kuna mtu anaishi unaita pagaleSasa hiyo ni nyumba au gofu/pagale?Acheni utipii.Ndiyo ninyi madalali mnaopiga picha za vitu kisaniisanii ili kuhadaa wateja.Kwa nini asingeandika 1-jengo ambalo halijakamilika? 2-jengo linalohitaji umaliziaji? au 3-simply pagale?
Kwani mteja atanunulia nyumba hapa JF ?Si atakwenda site na kulikuta hilo pagale?Acha kutetea u-hovyohovyo.Dalali awe mkweli!
Acha shobo mgomba,Kuna gari Sasa Apo?Usipende kusapoti ujinga.Unaelewa tofauti kati ya gari,bodi la gari na matairi vikiachanishwa?
Huyo anayeishi humo ni kwamba yumo pagaleni aka nyumba ya makumbusho.Pagale ni Kama ingekua haijapigwa bati,Sasa nyumba ina Hadi madirisha na Kuna mtu anaishi unaita pagale
Changamoto yenu hampendi kuelezwa ukweli wala ninyi kueleza uhalisia.Mmezoea sound na janjajanja.Anyway,kazi njema!Acha shobo mgomba,Kuna gari Sasa Apo?
Pagale ni Kama ingekua haijapigwa bati,Sasa nyumba ina Hadi madirisha na Kuna mtu anaishi unaita pagale
Nimeacha kabisa kumjibu mkuu,ni kweli kabisaHao wambea wana conect na moder wanataka mitusi wawafate dm wawaambie wakupige bani, achana nao fanya biashara yako mkuu
Hao pengine wanaishi kwa wazee wao wamemaliza Chuo wanadoea ugali Kwa kuwadhulumu wadogo zao
Fanya biashara ndugu yangu na acha kujibu ujinga wao hakikisha mtu yupo seriously ndio umjibu, mijibwa hiyo itakupotezea malengo
SawaNikinunua kwa hiyo bei ..ili nimalize iwe nyumba kamili inahitajika kaa shi ngap ivii ndugu dalali..
Acha ambiwe ukweli..jengo kama halijaisha ni Pagale tuSi Bora ukae kimya tu mzee, mtu kasema anauza nyumba na hauwezi kununua muache aendelee na biashara tena unauliza nyumba au pagale wakati picha zinaonekana si unaharibu biashara ya watu
Kaa kimya kama upande sio wako
Akili za kimasikin tu
OkeyAcha ambiwe ukweli..jengo kama halijaisha ni Pagale tu