Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
- Thread starter
- #21
Ipo mkuu,Bei mazungumzo
YapoBado lipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapoBado lipo?
Lakini kwenye heading kaweka wazi kabisa... (Nyumba haijaisha)....Sasa hiyo ni nyumba au gofu/pagale? Acheni utipii. Ndiyo ninyi madalali mnaopiga picha za vitu kisaniisanii ili kuhadaa wateja. Kwa nini asingeandika 1-jengo ambalo halijakamilika? 2-jengo linalohitaji umaliziaji? au 3-simply pagale?
Kwani mteja atanunulia nyumba hapa JF? Si atakwenda site na kulikuta hilo pagale? Acha kutetea u-hovyohovyo. Dalali awe mkweli!